Hakuna excuse, quality huamua matokeo. Sema wanachukulia poa sana kucheza na hizi timu. Hawa underdogs wao wanakuja kwa kujitoa mwanzo mwisho, mkileta ubishoo inakula kwenu. Ndicho kinamkuta Arsenal, intensity ya game hakuna kabisa.
Pumbafu sana hawa jamaa, haya ma mpira bora kuachana nayo tu. Tubakie kwenye uzi pendwa