Nilisema hii timu ina mabwabwa wengi kocha among them. Hachukui hatua.Timu hii, itatutoa roho.. π
Nimetizama kipindi kimoja tu nikapata mashaka kama tunaweza ambulia pointi..
Martinelli, saka.. Ni wakati wa kuletewa changamoto zaidi.
zilikuwepo na bado kuna ambao hawajakata tamaa ila mimi sioni tukiweza kubeba ubingwa msimu huuKwamba mlikuwa na ndoto za kubeba ubingwa?
Maoni yangu ni haya na hayatendelea kubadilika kama die hard fans mnaamini Arsenal atabeba EPL or champions league trophyunder Arteta na kina Saka basi kutakuwa na tatizo la akili somewhere HAPPY NEW YEAR GUYS!
Hujui soka wewe.Umeanza kuishabikia Arsenal 2019?
New year greetings
Wish you a happy new year 2024 full of happiness and success
Huu ni mchezo tu na usiwazuie kufurahia mwaka mpya
Mimi ni Gunners mpaka Card ya Uanachama nilinunuaga wakati nasoma PhD UK,lakini kila siku huwa nampinga huyu mpuuzi HAMIS na uongo wake humu,hata leo alipoandika humu kwamba tunashinda nilimwambia aache uhuni wake tuna Timu mbovu tena ya KICHOKO,na ndicho kilichotokea,hii ni Timu lainilaini,nina wasiwasi hawa wachezaji watakuwa wanafirana sio bure
Akili kubwa hiiMaoni yangu ni haya na hayatendelea kubadilika kama die hard fans mnaamini Arsenal atabeba EPL or champions league trophyunder Arteta na kina Saka basi kutakuwa na tatizo la akili somewhere HAPPY NEW YEAR GUYS!
Ashindwe mtaalam Van Persie kuwapa ubingwa aje kuwapa huyu NKETIAHAshindwe fundi FΓ‘bregas kuwapa ubingwa aje aweze Odegaard nyie mna vichaa
December Arsenal #1
New Year Arsenal #4
TAKATAKA ππππππ
Hujui soka wewe.
Nyie jamaa hamna timu ya maana, hadi kufika February/March mtakua mnapambania top fourKuna huyu kijana anayejiita hamis77 ukimuona anavyowadanganya wenzake utaishia kucheka tu.