Kivumbi leoTupige spana tu mwana Gunner mwenzetu
Arsenal ni kubwa mnoo, nakumbuka msimu uliopita pia mechi yetu dhidi ya City tuliyopoteza 3-1 at Emirates ilishikilia rekodi ya dunia ambayo pia ilivunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na mechi yetu dhidi ya Man utd tuliyopoteza 3-1 pale OT. We're a very Big big club, dunia nzima inatupenda, inafuatilia mechi zetu, achaneni na wapiga mboyoyo wa humu, we're fucking Big.Arsenal’s 1-1 draw with Liverpool at Anfield on Saturday was the MOST-WATCHED Premier League match in USA history, amassing 1.96m viewers across NBC platforms, surpassing the previous high of Arsenal’s 3-2 win over Manchester United in January 2023 (1.92m viewers). [@Lu_Class_]
Sio kweli kwamba Arteta ana miaka 5/misimu 5 bali ana misimu 4 ikiwa misimu 3 ndo iliyokamilika. Alichukua timu musimu wa 2019/2020 katikati mwa ligi yaan mwezi wa 12. Musimu wake wa kwanza ukiwa full ni 2020/2021. 2021/2022 ni kama aliutumia kufanya maboresho na kuutafuta muundo wa timu na 2022/2023 ndo timu imeanza kuwa kwenye ambao tunaona leo.Kwa nafasi aliyokaa Arteta last season katika 1st position for 284 days na Trophyhakubeba ingekuwa Klopp au Guardiola kombe angebeba na season hii ni yale yale kama ya last season position ambayo anatakiwa kukaa akishinda anaikosa so nothing new kwa Arsenal ya sasa tupo na tutakumbushana kocha una miaka 5 still unajenga timu ambayo ikitaka position nzuri unakosa ni mazoea na tushazoea
Kuna sentence unasema tujadili nini kirekebishike kwani kilichotokea jana na last season refer 10 games za mwisho utofauti wake ni nini sasa?
Naimani unakumbuka ahadi yako, nakuambia hautaamini ligi tukiianza pale January
kama ulishindwa kuamini msimh uliopita basi wewe ndiyo kenge.Yaani Asenyetoz mkishindwa kubeba epl msimu huu nitaamink kweli ninyi ni Kenge
Msimu huu big teams zinasuasua ndio ilikuwa muda wenu wa kutamba
Tunahasira tu leo. Kesho tunarudi kuwa kama kawaida yetu.Ndio kwanza tupo nusu ya safari mshaanza kukata tamaa.
Shabiki atasema anachoona. Ni kazi ya kocha kuprove maneno ya shabiki kama ni sahihi ama hapana.
Watu wanapenda kusema ana miaka 5 kwa sababu inawafanya wamuone wa hovyo zaidi kuliko uhalisia. Mimi najulikana kuwa #Artetaout na kutomkubali kama wengine hivyo inakuwa rahisi kwangu kumsupport pale anapofanya vema na kungeuka pale anapozingua. Ila sipendi kumzushia mambo na kumfanya aonekane dhaifu kuliko alivyo, zaidi ya kumuona kama siyo mzuri kama tunavyomkuza. Pia sijui ni nani aliyeko sokoni ambaye ni bora kuliko Arteta so namsupport sana tu.Sio kweli kwamba Arteta ana miaka 5/misimu 5 bali ana misimu 4 ikiwa misimu 3 ndo iliyokamilika. Alichukua timu musimu wa 2019/2020 katikati mwa ligi yaan mwezi wa 12. Musimu wake wa kwanza ukiwa full ni 2020/2021. 2021/2022 ni kama aliutumia kufanya maboresho na kuutafuta muundo wa timu na 2022/2023 ndo timu imeanza kuwa kwenye ambao tunaona leo.
Huyu pep unaemsema alichukua Man City ikiwa kwenye form na ikiwa na top class players na kuna muda aliongoza ligi kwa miez kadhaa lkn hiyo haikutosha yeye kuchukua ubingwa kwa musimu huo sawa sawa na liver ambae pia ilimchukua zaidi ya misimu 4 kuchukua ubingwa pamoja na ubora wake. Lkn hapa Arsenal ambayo ni msimu jana tu kaanza kurudi kwenye form ila kelele kibao na comparison za kutosha
Sa kama unajua hilo usishangae why tunajaa humu kutema nyongo.Huwez tegemea mashabiki wa timu wote waseme timu yao ni mbovu, wapo mashabiki wa aina mbili mbona wapo pia mashabik wa arsenal wenye mtazamo tofauti na hao unaowasema, kwaiyo maneno ni kawaida kwenye football kutamba na kutambiwa iyo ipo kabisa mzee
Yan Jamaa ni Bendera fata upepo kabisa . hajawahi kuongea jambo positive kabisa kuhusu timuMkuu computerarsenal ni mtu ambae amenyooka ndio maana hata mashabiki wenzake wa Arsenyo hua wanamuona kama msaliti.
Huyu jamaa sio wale bendera hufata upepo kila anachosema Masingeli na chawa wake basi na wao lazima wasapoti, computerarsenal timu ikifanya vizuri lazima asifie na ikizingua atakosoa, huyu jamaa ni mtu huru ambae hakubali akili yake kushikiliwa na watu ambao humu wanajiona wao ndio wana hati miliki ya timu.
Arteta katutoa mbali sanaYani kuna watu hawataki kabisa arsenal itetewe na mashabiki zakee
Kila mtu na mtazamo wake, binafsi hutokuta naikandia team yangu pendwa.
Na Arteta na mkubali vibaya mno
Mchizi angekua mungu ninge muabudu.
Hapa unakufuruMchizi angekua mungu ninge muabudu.
Nyumbu Ushindi kidogo tu wanapiga makelele kila jukwaaYani kuna watu hawataki kabisa arsenal itetewe na mashabiki zakee
Kila mtu na mtazamo wake, binafsi hutokuta naikandia team yangu pendwa.
Na Arteta na mkubali vibaya mno
Mchizi angekua mungu ninge muabudu.
Eti Arsenal ni kubwa mno!!!!!Arsenal ni kubwa mnoo, nakumbuka msimu uliopita pia mechi yetu dhidi ya City tuliyopoteza 3-1 at Emirates ilishikilia rekodi ya dunia ambayo pia ilivunja rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na mechi yetu dhidi ya Man utd tuliyopoteza 3-1 pale OT. We're a very Big big club, dunia nzima inatupenda, inafuatilia mechi zetu, achaneni na wapiga mboyoyo wa humu, we're fucking Big.
Arsenal ni kubwa hivyo sishangai kuona wachambuzi na pundits nzala ni wengi tunapopeteza mchezo, timu yako ni ndogo. You're fucking small club, nobody knows you, ndio maana ukifungwa hakuna anayeshituka, huna tag, huna attention. Coyg.
kweli?Alhamisi watatamani muda uishe haraka wale...tutawatoa manundu