arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Kuambiwa £60 million plus litakuwa jambo la kawaida...watu watachukulia kesi ya Caicedo....Chelkenge wameweka mfano mbaya sana pale EnglandCastr jamaa ako Purple channel karudi
Arsenal are currently exploring the prospect of signing 22y/o Amadou Onana from Everton. No talks have taken place yet; club insists on signing new holding midfielder, considering possible departures. #AFC
@PurplePanel
tumpate haraka huyu jamaa halafu kumbe mdogo tu, huyu kufikia summer hawez kubaki pale Everton ,
CHELKENGE wanajua sana kuharibu soko.Kuambiwa £60 million plus litakuwa jambo la kawaida...watu watachukulia kesi ya Caicedo....Chelkenge wameweka mfano mbaya sana pale England
Kipato huleta majivunoArsenal mko moto, tatizo mdomo.
Mna mdomo mpk mnakera
Kai anajipata mdogo mdogo ila ni tusi kubwa kumuweka na Dennis berkgamp.Tuchel on Havertz:
"Dennis Bergkamp, Robin Van Persie, Barbetov kind of player. He can play in the half position because he makes good runs, feels free from the 9 and creates overloads to one side and he arrives in the centre."
Huyu jamaa siyo wa kumchukulia kiwepesiCastr jamaa ako Purple channel karudi
Arsenal are currently exploring the prospect of signing 22y/o Amadou Onana from Everton. No talks have taken place yet; club insists on signing new holding midfielder, considering possible departures. #AFC
@PurplePanel
tumpate haraka huyu jamaa halafu kumbe mdogo tu, huyu kufikia summer hawez kubaki pale Everton ,
😆😆😆 tumemsoma jamaa huku tunamcheka kwa dharau kichini chini. Yaani Denis "the iceman" bergkamp anatajwa sentensi moja na Kai "shot off-target" Havertz?Kai anajipata mdogo mdogo ila ni tusi kubwa kumuweka na Dennis berkgamp.
Tuchel afungiwe kufundisha soka maisha yake yooote.
Tuchel apigwe ban ya maisha asijihusishe na BOLI akawe mwalimubwa rede huko.😆😆😆 tumemsoma jamaa huku tunamcheka kwa dharau kichini chini. Yaani Denis "the iceman" bergkamp anatajwa sentensi moja na Kai "shot off-target" Havertz?
Olise si kenge walimmendea?Kuna wachezaji wazuri EPL hawatajwi, sijui ni kwa sababu wanachezea timu ndogo?
Mmojawapo ambaye anafit kwenye hiyo orodha ni Olisse wa Crystal Palace
Tugeeni chance tushee CV.Kuelekea Tamasha la Mashabiki wa Arsenal Africa hapo April 2024, Arsenal Supporters Club Tanzania inaungana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (Jakaya Kikwete Cardiac Insititute -JKCI) kuchangisha pesa kwa ajili ya kusaidia upasuaji kwa watoto wenye changamoto ya moyo
Ambayo wazazi hawana uwezo wa kumudu gharama hizo.
Pamoja tuungane kuleta mabadilikoView attachment 2847244
Onana na Palhinha ndo realistic...hyo Luiz hawawezi kumpataOnana
D Luiz
Palinha
Hizi taarifa inamaana kuna anaitajika mmja au kuna maingizo mawili January mmja na Summer kuna kiungo mwingine pia maana kila siku taarifa mpya Jana onana leo zimeibuka za D Luiz
Nadhan kazungumzia profileKai anajipata mdogo mdogo ila ni tusi kubwa kumuweka na Dennis berkgamp.
Tuchel afungiwe kufundisha soka maisha yake yooote.
Hakupaswa kumzungumzia na kumuweka daraja na berkgamp kwa namna yoyote.Nadhan kazungumzia profile
Hapo tunataka tumuingize mkenge kubwa jinga moja, hasa Chelsea.Onana
D Luiz
Palinha
Hizi taarifa inamaana kuna anaitajika mmja au kuna maingizo mawili January mmja na Summer kuna kiungo mwingine pia maana kila siku taarifa mpya Jana onana leo zimeibuka za D Luiz
Kai achukiwe kwa kipi.. Humu sidhani kama tunaweza leta chuki binafsi kwa mtu ambae hatuna muingiliano na wengine hata huku mitaani kuishi kwa chuki hatuwezi.Sema watu mna chuki sana na Kai .. halafu hazina Sababu
Kai achukiwe kwa kipi.. Humu sidhani kama tunaweza leta chuki binafsi kwa mtu ambae hatuna muingiliano na wengine hata huku mitaani kuishi kwa chuki hatuwezi.
Tunapoongea humu ni burudani tu kuchambua mpira, kuelezea kile unachokiona na kukijua kwenye ball.
Si lazima mfanane mawazo, ndio maana mwalimu huyu anaweza mtumia chama, yule akamkataa, huyu akamuona ode hafai, kisha huyu akamuona ode anamfaa. Soka liko hivyo.
Kila mtu ana kitu kimpendezacho kwa mchezaji.