Big up <u><b>Balantanda</b></u>,kwa ushabiki wa mpira, sio kwa timuza TZ tu, ila kwa kwa timu bora duniani! Now its official, nguli <u><b>Peasant ni mshabiki wa Arsenal</b></u>, maana anakesha humu!
Bora umeongea ukweli,lakini naamini still Walcott anaweza akafanya vizuri cha msingi aingie gym ajenge mwili then Wenger amchezeshe kama Striker hasicheze pembeni
Big up Balantanda,kwa ushabiki wa mpira, sio kwa timuza TZ tu, ila kwa kwa timu bora duniani! Now its official, nguli Peasant ni mshabiki wa Arsenal, maana anakesha humu!