Ww ni shabiki wa timu gani...tafadhali naomba nikufahamu mkuuSisi tunachofanya ni kutunza hizi risiti halafu baadae tuje kukumbusha maana mpira wa mdomoni haujawahi kuwa mgumu bali uwanjani
Tusubiri February hapo wala sio mbali uone hizo timu nyepesi zitakapo badilika ndo utaelewa kwann ile ni Uefa
Kwamba Ac milan bingwa mara 7 ndio nini sasa? hii sio hoja, tumia akili, Kuwa bingwa kwa historia kuna uhusiano gani na ubora wa timu husika kwa sasa? aston villa & Forest ni mabingwa kwenye historia lakini hawapo uefaWw jamaa mda mwengine unajitoa akili hilo ndo lilikuwa group la kifo halafu ww unasema halikuwa jepesi
Ac Milan bingwa mara 7
Dortmund ana misimu karibu 6 anafika hatua ya 16 na ashafika hadi final
Psg kila mwaka yupo Uefa na alishacheza hadi final
Newcastle ndio timu pekee kibonde kwenye hilo group ulitemegea angefika wapi
Acha kuchekesha watu mzee, kwamba 'mbinu za makocha zinaishia group stages!' kwahiyo Villareal ya Emery ilikuwa na wachezaji bora kuliko Bayern?kwa UCL hususani kwenye knockout phase ,kila timu ni threat.. haijalishi katika domestic leagues zao zina form ipi.
ubora wa wachezaji zaidi ndio huwa unaamua matokeo mara nyingi.. mbinu za makocha zinaishia group stages tu.
Unatumia nguvu nyingi sana kuisafisha hii takataka. Hakuna kitu humu. Huwa anarukaruka tu uwanjani.PSV manager Peter Bosz on Kai Havertz (they worked together at Bayer Leverkusen):
"You don’t need to be a scientist in football to see this was a big, big talent. Absolutely. He is really a modest guy... An outstanding, outstanding player." #AFCView attachment 2841075
HatutakiLower your expectations and you will thank me later.
We si unatimu lako braza.. Kaka Basi tuachie li arsenal letu tufurahi maan amn jema tukiwa wabovu majungu. Tukiwa formm majunguNiwe mkweli tu, siku hizi mimi napendelea kutembelea uzi wa gunners kila nikimaliza kufanya shughuli zangu za msingi ili kupata burudani ya jinsi mashabiki wanavyojiskia wakubwa kuliko uhalisia wenyewe. Ila najua hii yote ni ugeni wa kuwa kwenye form, muda ukipita kidogo mtazoea na mtaona vitu vya kawaida sana tu. Huwezi kuta shabiki wa liverkuku, nyumbu, city na chelkenge waki exaggerate ubora wao kama mnavyofanya nyie, its too much gunners.
Wewe timu lako limeburuza mkia UCL,kaa kimyaNiwe mkweli tu, siku hizi mimi napendelea kutembelea uzi wa gunners kila nikimaliza kufanya shughuli zangu za msingi ili kupata burudani ya jinsi mashabiki wanavyojiskia wakubwa kuliko uhalisia wenyewe. Ila najua hii yote ni ugeni wa kuwa kwenye form, muda ukipita kidogo mtazoea na mtaona vitu vya kawaida sana tu. Huwezi kuta shabiki wa liverkuku, nyumbu, city na chelkenge waki exaggerate ubora wao kama mnavyofanya nyie, its too much gunners.
Oya wewe siulisajili kikosi Cha £450m na umeishia kuburuza mkia mbele ya CopenhagenLower your expectations and you will thank me later.
Formula ni ileile ndugu zangu...tuhakikishe nyakati za usiku tunatembea kwa vikundi...hawashindwi kutuvamia hawa....yaani mtu timu kufanya vzuri hataki tufurahie kabisa....wanataka tuwe tunalalamika tu mda wte kama wao wanavyomlalamikia Kipara mandonga Baba Ubaya ten hag...hii akili unaikuta kwa mashabiki wa Manunu tuWe si unatimu lako braza.. Kaka Basi tuachie li arsenal letu tufurahi maan amn jema tukiwa wabovu majungu. Tukiwa formm majungu
Sasa sijui mnataka nn sasa kwetu kifanyike mfurahi!??
Hamna jema mnalotaka kwetu
Wewe huna haki ya kujadili chochote humuUnatumia nguvu nyingi sana kuisafisha hii takataka. Hakuna kitu humu. Huwa anarukaruka tu uwanjani.
Nakubali aisee. Unskumbuka ule msimu Chelsea walibeba champions league huku premier league wakimaliza nafasi ya 5? Wakajikuta wanaenda kutetea kombe lao msimu uliofuata Kwa kuchukua nafasi ya Tottenham ambaye alikuwa wa 4?kwa UCL hususani kwenye knockout phase ,kila timu ni threat.. haijalishi katika domestic leagues zao zina form ipi.
ubora wa wachezaji zaidi ndio huwa unaamua matokeo mara nyingi.. mbinu za makocha zinaishia group stages tu.
Shabiki la nyumbu linatafuta nini humu?Lower your expectations and you will thank me later.
Siyo kwamba hatujui kuwa tunajizidishia chumvi. Tunajijua tunauwezo ila tunajua udhaifu wetu zaidi. Ni kwamba tukishinda, kitu ambacho kimekuwa kikitokea zaidi ya zamani, tunakuza ukubwa wetu. Tukifungwa, kitu ambacho kimepungua kuliko zamani, tunakuza udhaifu wetu. Yaani ni tabia tu za kishabiki na, niamini, majukwaa yote yako hivyo.Niwe mkweli tu, siku hizi mimi napendelea kutembelea uzi wa gunners kila nikimaliza kufanya shughuli zangu za msingi ili kupata burudani ya jinsi mashabiki wanavyojiskia wakubwa kuliko uhalisia wenyewe. Ila najua hii yote ni ugeni wa kuwa kwenye form, muda ukipita kidogo mtazoea na mtaona vitu vya kawaida sana tu. Huwezi kuta shabiki wa liverkuku, nyumbu, city na chelkenge waki exaggerate ubora wao kama mnavyofanya nyie, its too much gunners.