Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Asante sana ndugu, ngoja nilifanyie kazi hili suala taratibu nikiwa nmetulia
 
Ruben Neves on Newcastle and Arsenal links: “I don't go. I'm really happy here, my family's really happy”.

“I think that's rumours because of the owner of the clubs of course, and I've played in England as well… there was Newcastle interest before I came here”, told BBC.
 
Tunaongoza ligi lakini bado hatupo kwenye kile kiwango chetu

Odegard na saka wanaanza kurudi kwenye Ile form zao

Partey bado yupo kitandani

Timber Hadi January
Ateta anabidi kusajili kiungo mwingine chuma kama rice ili ordergad akaekati atafute tisa WA kutisha apo atakuwa katibu maana pale saiv race ikihumia ,au saka NI majanga
 
Ungejibu muda nimecomment ingependeza mkuu. Kuja baada ya vita ni uoga.
Mechi zenye ugumu kwetu zinajulikana...mnapiga ramli kwny vitu ambavyo haviwezekani kabisa....timu tutakazosumbuana nazo ni 3...Liverkuku, Man City na Brighton maana Wana waalimu wazuri....haya makinda mengine ni kupita na kuokota points tu🤠🤠🤠....nashangaa sana mnavyokujaga kutujazia nzi hmu tukicheza na kina Brentford sijui kina Wolves....j4 karibuni tena tuna jambo letu na Luton Town
 
| Jurrien Timber says he hopes that he will be able to return to the pitch before the end of the season as he says he is “making good progress”.
 
Jurrien Timber:

"I'm feeling good. Progressing well. Recovering well.

It won't be whole season, I hope. I'm making a good progress."

"I see them (Arsenal players) every day on the training ground. I basically turn at same time as them. Makes it easier, boys are fun. It's a young squad.

I stay connected to them."

 
Zinny akomae, huyu dogo anarudi January

Ila wapinzani watateseka Sana huku tunapoelekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…