mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Lazima "heshima irudi mahala pake"Bado hatujaridhika aisee. Tena hiyo ya marudiano tunatamani tuwapige kama hawa Lens. Kwa maneno ya mkorea , 'heshima irudi'. Ila pale unyumbuni naona mna mali aisee. Kale ka Garnacho tupeni basi kaje kusugua benchi. Akitoka Martinelli kaingie. Huyo Fernándes pia tupeni tumuweke bench ili akitoka Kai, Bruno aingie.
. Kama jana kwa nini hamkucheza tu game lenu bovu la janjajanja la kupaki basi na kuvizia counter? Mkaanza kujiona eti na nyie mnaweza kama wengine mkaanza kupishana na wale wanaOttoman. Mkawapa confidence, mwishowe mkapoteza points 2.
