Huyu mzee alijua hasa maana ya "utilization of resources "Hapa ndipo wenger} unamvulia kofia mzee wenger, wachezaji wengi wa kawaida ila pira ni lilikuwa linatembea hatari
Unamjua vizuri rosicky mzee baba, umemuelezea vizuri sana, Binafsi nilikuwa naenjoy kumuangalia na nikiona kapangwa basi naamini mechi tunashinda.Kwangu mimi huyu ni moja ya viungo bora niliowaona kwa macho yangu.nilikuwa napenda zile turning zake na jinsi anvyojoin na kukontrol temple,kuficha mpira,driving speed yake kutokana na temple ya mchezo.
Dah katika vitu wenger alikosa kipindi hicho ni attitude,spirit na proper motivation to win something
Mid yetu ingekuwa Samir Nasri- declan Rice- odegaard, aisee kinanuka mwanzo mwisho.Wenger dah,nna heshima yake kubwa.nasri akicheza LCM nilikuwa napenda sana.kasi,shooting,decision making,low-block unlocking,kukokota,vision na accuracy yake
Nasri
Riyad Mahrez alikuwa na nidhamu kidogo, sijui tulimkosaje huyu dogo pamoja na Kante, nasikia mzee aliwahitaji toka wapo ufaransa ligi za chini sasa sijui ilikuaje akaghairi. Dingi wenger kwenye suala la talent identification nadhani hata Pep anachukua notse.Ndio kiazi cha kina hatem ben arfa, alikuwa anaujua, ila nae ni jeuri pia.
Kwenye ubora wake nilitamani itokee siku acheze arsenal.
Dogo anapush Sana kurudi as soon as possibleJurrien Timber continues to make great progress in his return from the ACL injury that he picked up on his Premier League debut.
He’s currently at London Colney doing gym work, as shown in his latest Instagram post, with him still expected to be back on the training pitch in January.View attachment 2827964
Ramsey alikuwa na potential ila alivyovunjika mguu akashuka kiwango, baadae akawa inconsistent kama unavyosema, uwezo ukaja kurudi mwishoni miaka miwili kabla hajaenda Juve, alikuwa anaubonda mwingi tukawa tunamtegemea. Wenger alimvumilia sana Ramsey.Hapo world class players walikuwa:
Per
Koscielny
Rosisky
Giroud
Ramsey alikuwa na siku na siku so is Walcot
Mzee Wenger ni bingwa kwenye suala hilo, kjna uzembe bodi ya arsenal ilikuwa inafanya, wenger vipaji vingi saana alikuwa wa kwanza kuona, ilifika hatua wenger akipoint watu watamtolea macho huyo mchezaji.Riyad Mahrez alikuwa na nidhamu kidogo, sijui tulimkosaje huyu dogo pamoja na Kante, nasikia mzee aliwahitaji toka wapo ufaransa ligi za chini sasa sijui ilikuaje akaghairi. Dingi wenger kwenye suala la talent identification nadhani hata Pep anachukua notse.
Vipi fundi fransesc fabregas... Master pass huyu.. Ila naona LCM ingemfaa zaidi mtakatifu cazorla.Mid yetu ingekuwa Samir Nasri- declan Rice- odegaard, aisee kinanuka mwanzo mwisho.
Anaenda uefa na kina coquelin 😂🤣Huyu mzee alijua hasa maana ya "utilization of resources "
Yes. Solution ni kupata watu wazuri wakupokezana nao mipira na kusonga. Quick pass and move ukishawavuta mabeki. Na hiki kinatakiwa kifanyike na timu nzima, yaani mwendo wa tiki taka kama ile Barcelona ya Xavi, Messi, lniesta. Naona Arteta labda bado hajaweza kuwafundisha timu nzima hiyo mbinu ya kukwepa kukabwa au hajapata wachezaji sahihi maana sioni urahisi wa style hiyo kama uwanjani una Martinelli anayependa takeons na kukimbia sana, Nketiah naona hawezi takeons na hawazi quick combinations haraka yeye anawaza kushoot. Rice nae anapenda kukokota ila akifika final third anawaza kugawa mali na kubaki nje ya box. Siyo mtu wa kupiga one two nje ya box na kusprint ndani mpira umkute kwenye touchline au ajikute 1v1 na kipa. Kai na Jorginho wanaprocess matukio taratibu mno na wanamove taratibu pia na ndiyo maana pass zao nyingi ni za safety kuliko kutengeneza hatari kwa mpinzani. Ukiwa na hawa wote kwa wakati mmoja utatengeneza chances chache na utazungusha mpira sana nje ya box la mpinza (ulishagundua low blocks zimeongezeka ) na wakati mwingine kurudi hadi kwa kipa wako mwenyewe ukitegea mpinzani afunguke either kwa kuchelewa kurudi kwenye mfumo wait wakitoka au beki mmoja kupoteza umakini.Ujue Kuna scenario zinasemwa na Zina logic , Ødegaard anatakiwa kucheza LCM , Smith Rowe acheze RCM, Kuna mechi Smith alicheza RCM waliivana sana na Saka,
Anachokikosa saka Sasa hivi Ni zile one two ,
Kwasasa Playmaker wetu amekuwa Saka
Shida inakuja anazingirwa na mabeki wawili Hadi watatu, hivo anahitaji RCM wakufanya nae one two nyingi,na mwenye huo uwezi ni Smith Rowe, Sababu Ødegaard amekuwa mfungaji zaidi kuliko mtengenezaji
Goal difference yenu angalau kidogo sasa. Pambaneni muiboreshe au shukeni chini huko mnapostahiliNauza clip ya goli bora la (Garnacho) msimu wa 2023/24 kwa $100 kwa wale ambao hamkupata nafasi ya kuliona live.
Mimi sijapenda vile wachezaji wetu watatu wote wamerundikana sehemu moja na kumpa Saka option moja tu ya cross. Hapo angekuwa mmoja katikati ya hao wanna waliopo mbele ya Saka, Odegard anarudi tu ndani kidogo na kugeukia golf, inapigwa 'rondo' au sambusa moja tu yaani Saka anampasia huyo na huyo anampasia Odegaard ambaye anakuwa anaelekea golini sasa kushoot au kupiga low cross kwa simple tap-in.Saka anaposema wanakabwa watatu watatu anamaanisha
Sasa anakuja Shabiki wa manjesta anabisha ,ataelewaje ikiwa timu Yao imezoea kupakishwa Basi
Angalia hapowachezaji 9 wa Brentford wapo ndani ya Box
Ulaya nzima ,Arsenal tunaongoza kuwekewa mabasi
View attachment 2826785View attachment 2826786
Naunga mkono hojaLens leo apangiwe full mkoko
Apelekewe Moto mwanzo mwisho
Apigwe mkono ili kuweka heshima sawa
View attachment 2828476
Muhindi kamkataa lensNaunga mkono hoja
Naona bench la wauguzi Wana mpush zaidi partey ili arudi mapemaArsenal are top of the table with Injuries and still proving doubters wrong!
List of #Arsenal players missed games this season
1 Martin Ødegaard 3 Games
2 Bukayo Saka 1 Game
3 Thomas Partey 11 Games
4 Emile Smith Rowe 5 Games
5 Mohamed Elneny 6 Games
6 Jurrien Timber 18 Games
7 Gabriel Jesus 10 Games
8 Gabriel Martinelli 6 Games
9 Zinchenko 2 Games
10 Eddie Nketiah 1 Game
11 Ben White 1 game
12 Declan Rice 1 game
13 Leandro Trossard 2 game
14 Now Fabio Vieira