Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,186
- 18,904
Mlivyo ndezi mancity atapanda tena hapo muda mfupi ujao , kushikilia bomba hamuwezi ninyi
Timu yetu ya wanawake msimu huu inasua sua kwenye kupata matokeo nimekua nikifatilia game zetu yani tuna tatizp la kuruhusu magoli mapema sana..
Alikuwa PochNi juzi tu aliongea jeuri kutokana na alichosema Arteta. Mpaka wote tutaongea lugha moja.
View attachment 2812088
Ndo ujinga tunaousema huo.Arsenal could offer English attacking midfielder Emile Smith Rowe, 23, in a cash-plus-player deal with Aston Villa for their 25-year-old Brazilian midfielder Douglas Luiz. (football.london)
Chukulia Kama tetesi, huyo mtoto Arteta anampenda Sana,Ndo ujinga tunaousema huo.
Zinaanzaga hivi hivi, mi namkubali sana tabu yake majeruhi.Chukulia Kama tetesi, huyo mtoto Arteta anampenda Sana,
Aende tu unai kwa kipengele chenye masilahi na asenali pia maana kwa ninavyoiona asenali ya sasa emil hatoboi kwenye kikosi cha kwanzaArsenal could offer English attacking midfielder Emile Smith Rowe, 23, in a cash-plus-player deal with Aston Villa for their 25-year-old Brazilian midfielder Douglas Luiz. (football.london)
Anatoboa vzr tu, mchawi injury tuAende tu unai kwa kipengele chenye masilahi na asenali pia maana kwa ninavyoiona asenali ya sasa emil hatoboi kwenye kikosi cha kwanza
After International break nadhani Odegaard, Jesus na Benny Blanco White watakuwa wamerudi...kama na Emile naye atakuwa tyri itakuwa fresh...maana mechi hapo zitakuwa nyng sana....tuombee hii International break tusipate majeruhi yyteAnatoboa vzr tu, mchawi injury tu
Alirudi hapa juz akaonesha uwezo mzuri na akatengeneza magoli mawili ,
Akawa ameshaanza kutaka namba ,gafla kaumia ,after international break anarudi
Hata Smith Rowe atakuwa karudi,After International break nadhani Odegaard, Jesus na Benny Blanco White watakuwa wamerudi...kama na Emile naye atakuwa tyri itakuwa fresh...maana mechi hapo zitakuwa nyng sana....tuombee hii International break tusipate majeruhi yyte
Rekebisha kufunga....sema mmefungana goli nne....halafu unachotambia hmu ndani ni nn wkti mmepata draw mechi zte kubwa Nyumbani kwenu...Liverpool, Arsenal, Man City...hzi jeuri zinatoka wapi🤠🤠🤠Nyie kondoo hivi mna uwezo hata wa kumfunga City goli nne kweli? Au mpo hapa kudanganyana kuwa mna timu y kubeba ubingwa.
Mi nachojua tumefunga goli nne ila tumedroo, ndio nauliza kumfunga goli nne man city nyie mnaweza? Au ndio story zenu za kuovalod na duel win. Kondoo nyieRekebisha kufunga....sema mmefungana goli nne....halafu unachotambia hmu ndani ni nn wkti mmepata draw mechi zte kubwa Nyumbani kwenu...Liverpool, Arsenal, Man City...hzi jeuri zinatoka wapi🤠🤠🤠