Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnaosema Havertz kaimprove sijaona sehemu yoyote aliyoimprove.
MalcolM ina maana hauoni Kai anavyowin Duel?
Co-workers wa Masingeli wenyewe hua wanamtetea Kai humu huku wanachekea tumboni, Kai ni kipenzi binafsi cha boss Masingeli, hivyo yoyote anaempondea Kai humu sisi machawa wa Masingeli tunamuhesabia ni mamluki.


#Arsenyo Ndoo
#Kai Balon D'or
 
Pamoja na kumlaumu Kai, ila anacheza na timu inapata ishindi sasa sijajua shida ni nini? Au Arsenal ilitakiwa ishinde 8 ila tatizo Kai??!!
 
Una shida gani na sisi kaka...ukishinda tabu ukifungwa tabu🤠🤠...tuache tupumue kidogo
 
Sasa hivi pimbi hawa wanajiita mabingwa wa UEFA na epl
Masingeli anakwambia Supakompyuta tayari imeshamtangaza mshindi wa Uefa, Epl na FA ni Arsenyau.
Hivyo Masingeli amewaambia mashabiki wa Arsenyo wasiwe na wasiwasi waanze tu kushangilia kabisa maana msimu huu wanabeba treble.
Masingeli muogope Mungu ndugu yangu, mwisho wa msimu hua unawakimbia wenzio humu.
 

Hii post naomba ihefadhiwe Arsenal wako moto sana
 
Una shida gani na sisi kaka...ukishinda tabu ukifungwa tabu
...tuache tupumue kidogo
shida kubwa ni false hopes ndugu yangu, au wewe hujamsikia Masingeli anavyo waaminisha mashabiki humu waanze kabisa kushangilia makombe yao wakati ligi inaendelea?
Masingeli anakwambia SuperComputer tayari imeshawapea Arsenyo ubingwa wa mezani wa CL, PL na FA.
Masingelea amewahakikishia watu humu kua msimu huu Arsenyo anachukua treble.
 
Nyny mbona mnaamini mtamaliza top 4...kitu ambacho ni ndoto za mchana
 
Nyny mbona mnaamini mtamaliza top 4...kitu ambacho ni ndoto za mchana
Top foo ni kitu kidogo sana kwa Man Utd.
Masingeli anaiaminisha misukule ya humu kua CL ndio kombe rahisi kubeba kuliko makombe yote, nimemuuliza kama ni rahisi timu yako ya Arsenyau tokea imeanzishwa mpaka sasa hivi ina makombe mangapi ya CL?
Mpaka leo hajanijibu zaidi ya kuniwekea tu takwimu za Kai Harvez anavyo interchange position na kuwin duel.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…