Hua naboreka kumpa mtu case studies.Newcastle ni westham yenye pesa kwa kuangalia muktadha upi ? Hizi game ulizokutana nazo ama?
Recently umecheza na hao westham na Newcastle kwani matokeo yalikuaje ?
Team inayoenda omega ndo imekufunga sasa sijui wewe utakuwa nani kama sio mwenda tezi na omobora kuwa na homa ya vipindi kuliko kuwa na false hopes . Unaposema midtable team una maana gani mzee maana navyojua huko mid table hatupo toka mwaka jana na mpaka sasa.
Yote kwa yote View attachment 2809936
Hii picha ilipigwa after the game against Arsenal na itapigwa tena pale emirates au unabisha tena kama mwanzo kabla ya game?
Westbrom inamfunga tano chelsea huku inashuka daraja.
Classic sign ya mid table team ni kutokua consistent, anaweza akaifunga Arsenal, City, Liver ila watoto wenzake wote akapigwa nao. So far ndipo nyukesto ilipo, mwaka juzi nyumbu walikua hapo, nikawaambia mashabiki wake hiki ninachokuambia wewe hapa.
So kwangu mimi wewe na nyukesto ni house of wishes and dreams