Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ishu ni kwamba hakuna ambae hajawahi kuonewa na VAR na pia hakuna ambaye hajawahi kutofaidika na maamuzi ya VAR, kumbuka wakat unafaidika kuna ambao waliumia pia. Kama unavyosema kuwe na fairness kw wote mana kuhujumiwa kunauma asikwambie mtu.
Ndiyo hivyo. Kuwe na fairness kila mahali ili watu waenjoy mpira, bila kujali ni timu gani. Sisi tumeonewa zaidi ya wengi, ila kinachotuokoa ni mara nyingi tunaupiga mwingi na kushinda licha ya dhulma. Ila hatuwezi kushinda licha ya dhulma kila wakati 😃😃
 
leo nataka nimuangalie tena ocampos. jamaa alikuwa mwiba sana kwetu tulivyocheza nao kwao.
 
Waleteeee trossard.

Joginho kapiga pasi ya kutolea mahari kwa mtoto wa kocha.
 
Expected goal ni 0.00
Hawa sevila wanaweza wasirudi uwanjani
Screenshot_20231108-234959.jpg
 
Leandro Trossard has now scored five goals in all competitions for Arsenal this season, while ALL his five goals have been assisted by Bukayo Saka. #afc


Combo ya

Martinell Trousard Saka
hua ina balaa sana last season wakat jesus hayupo walipiga mpira mkubwa sana hawa jamaa kwa umoja wao ila baada ya jesus kurudi sikuwai kuiona tena zaid ya leo na tayari ishalipa mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom