2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,725
What Arsenal fans saw.
Reality .
Kitu cha wazi ndio hoja?. Una hoja ipi kudai mpira umetoka nje? Ukumbuke mpira ni SPHERE
Wanaojua mpira wao wamesema haukutoka, ww mwananchi wa Chalinze unasema umetoka.
Lakini tusisahau kuwa mpira si vita, ni mchezo wa burudani watu wanalipia kuenjoy.Mpira ni mbinu. Hata kwenye maisha hatuwezi wote kutoboa kwa njia moja. Kila mtu ana namna yake ya kupata kinachomfaa. That's all, malengo yafikiwe tu
Wanaojua wanakosolewa na wanaojua wenzao huko England kwenyewe kuna malalamiko sasa wewe wa kolomije unabisha nini wakati kila kukicha VAR referees wanafanya makosaWanaojua mpira wao wamesema haukutoka, ww mwananchi wa Chalinze unasema umetoka.
Unafikiri kupaki bus kama Diego Simeone ni rahisi. Kubaki kwenye defesnsive shape kunahitaji umakini wa hali ya juu mtu unapaki bus unafika final Champions leagu unafukiri ni kitu rahisi?Lakini tusisahau kuwa mpira si vita, ni mchezo wa burudani watu wanalipia kuenjoy.
"Football should be an art" ~ Arsene wenger.
Elewa alichoandika hivi uchezaji wa jana wa Bruno g unaona ile ni art au kama vita? usijibu kama hukuangalia mechiUnafikiri kupaki bus kama Diego Simeone ni rahisi. Kubaki kwenye defesnsive shape kunahitaji umakini wa hali ya juu mtu unapaki bus unafika final Champions leagu unafukiri ni kitu rahisi?
Kuziba space zote, staying in defensive shape kumnyima mpinzani asipige hata shot on target.
How do you not call this an art?. Au art kwako ni kupiga pass tu ili mradi usipoteze mpira
Manchester united panga pangua kila kocha akija lazima afate DNA ya direct football hiyo pia ni art
Kwani hujaona Var imeonesha mpira ulikuwa nje kabisa we kama unabisha lete ushahidi wako hapa kwamba mpira ulikuwa ndani ya lineKitu cha wazi ndio hoja?. Una hoja ipi kudai mpira umetoka nje? Ukumbuke mpira ni SPHERE
Huyu jamaa nimemjibu amesema hafurahishwi na uchezaji wa Simeone, Mourinhi Eddie Howwe. Anapenda Pep, Arteta, Di zerbi sababu wanacheza mpira wa kuvutia. labda wewe hujamuelewaElewa alichoandika hivi uchezaji wa jana wa Bruno g unaona ile ni art au kama vita? usijibu kama hukuangalia mechi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasoma maelezo yako yte nimeamua kukuambia kwnn Partey...kuna mechi ambazo unaweza kucheza pasi na wachezaji wako muhimu na bdo mkapata matokeo...sababu ni simple tu....viwango vya timu vinatofautiana...mfano huwezi kuwafananisha Aston Villa na Sheffield United...kwa sababu Wana quality tofauti....same na Newcastle na Luton Town labda....ndo maana nikasema kwa nature ya mechi ya jana a missing puzzle ilikuwa Partey.... Georginho ni rahisi sana kuwa bullied na ana pasi za nyuma nyng...he is not physical tofauti na Partey...jana kuna watu watasema Odegaard...lakini kwangu mm Havertz alikava vzuri kuliko kama Odegaard angekuwepo kwa sababu hawezi mpira wa nguvu...kiungo cha Newcastle ukitaka kucheza nacho uwe na nguvu kwanza lakini uweze kuficha mpira....ukifanya hayo mawili wanakuwa hawana threat kubwa....Sasa kipi hapo hakieleweki....hata uwe mzuri vipi kuna mechi ambazo utahitaji uwe na kikosi chako Bora Ili upate matokeo....mfano mzuri mechi ijayo na Burnley...hata uwe na kikosi cha kawaida unaweza kupata matokeo kwa sababu quality Yao sio kubwa....huelewi nn Sasa hapo mkuu🤠🤠🤠Hiki ndo kitu Mnashindwa eleweka Nyie Jamaa tupo GW 11 sawa na wastani wa Dakika 990 ila Partey ana Dk 254 tu Msimu Huu hii ina maana amekosa takribani theluthi Mbili za Mechi zenu kwa Dakika 736 ambazo hajazicheza Leo hii mnasema angekuwa Mkombozi wenu, PARTEY KAANZA MECHI 4 tu, sasa leo hii anageukaje LULU mnayoiimba Humu.
Ngoja nkuweke sawa kitu Kimoja Miaka yote EPL inasifika kuchezwa na Nguvu nyingi, Sina hakika kama ushawahi Ishuhudia Blackburn ya kina TUGAY, ROBBIE SAVAGE and Co. Birmigham City, CHARLTON, EVERTON, Bolton, Portsmouth, na Mpakaleo hukosi timu ya aina hii! Ni timu zilijengeka kwa Matumizi ya Nguvu haswa na hata wastani wa kimo unakuta ni 6ft kuendelea. PARTEY Mnayemsema ARTETA baada ya kumpata RICE alikuwa huru kumwachia ingawa Mwanzo mwa Dirisha alikuwa anasema ni "Super Important Player" GUARDIOLA Hili kaligundua angalia Back 4 yake na 3~2 wake wa Build Up ni 6ft+ huwezi fanya Bullied compare na Nyie ambao mna wachezaji Giants lakini "Nyoro nyoro" sana
Walichokifanya NEWCASTLE ni muendelezo wa kilichofanywa na W/HAM kwamba Nyie MD's zenu zikiwa Bullied ni rahisi kuwatoa mchezoni. Umesema Nature ya Goli ndo ina ukakasi ila hujaweka wazi ni Upi {Mpira kuwa nje, Faulu ama Offside}. Kingine kikubwa Nje na Hayo Mpinzani Mfunge Nyingi akikifunga 1 la utata una Mengi ya kushinda Point, attacking Yenu unaielewa siku za karibuni mkikutana na wapaki basi na Bullies?? zaidi ya yote RICE na SALIBA hawatakiwi kabisa kuwepo kwenye Losing side.
Anajibu kishabiki zaidi....ila ukiangalia kimpira Bruno alitakiwa asimalize dk 90 ile mechi...alifanya mambo ya ajabu mule uwanjani ila wakawa wanakausha hata kujiridhisha kwny VAR hawakutaka....yule Forward mbeba vyuma mpk Kofi alimtandika Malgalhaes ila hata kadi hakupewa mwshoni kocha wake akaona amtoe maana anaweza akapata kadi....yaani walipanga kutufanyia Kila aina ya visa...mechi kama hzi ndo unawakumbuka watu kama kina Roy Keane na Vieira...ukimfanyizia mchezaji wake na yy anakuwinda mpk discipline inakuingia🤠🤠🤠....tunatakiwa tumpate Fofana halafu tumefundishe ngumi awe special kwajili ya kina Bruno maana inaonekana ndo watakuwa wanafanya vile tukikutana Kila sikuElewa alichoandika hivi uchezaji wa jana wa Bruno g unaona ile ni art au kama vita? usijibu kama hukuangalia mechi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu lini Kujaza watu kumi na moja ndani ya box nayo ikawa sanaa?Unafikiri kupaki bus kama Diego Simeone ni rahisi. Kubaki kwenye defesnsive shape kunahitaji umakini wa hali ya juu mtu unapaki bus unafika final Champions leagu unafukiri ni kitu rahisi?
Kuziba space zote, staying in defensive shape kumnyima mpinzani asipige hata shot on target.
How do you not call this an art?. Au art kwako ni kupiga pass tu ili mradi usipoteze mpira
Manchester united panga pangua kila kocha akija lazima afate DNA ya direct football hiyo pia ni art
Mtu ambae hakutakiwa amalize mechi ni kai. Maamuzi yaliyofwata baada ya hapo ni kubalance mchezo.Anajibu kishabiki zaidi....ila ukiangalia kimpira Bruno alitakiwa asimalize dk 90 ile mechi...alifanya mambo ya ajabu mule uwanjani ila wakawa wanakausha hata kujiridhisha kwny VAR hawakutaka....yule Forward mbeba vyuma mpk Kofi alimtandika Malgalhaes ila hata kadi hakupewa mwshoni kocha wake akaona amtoe maana anaweza akapata kadi....yaani walipanga kutufanyia Kila aina ya visa...mechi kama hzi ndo unawakumbuka watu kama kina Roy Keane na Vieira...ukimfanyizia mchezaji wake na yy anakuwinda mpk discipline inakuingia🤠🤠🤠....tunatakiwa tumpate Fofana halafu tumefundishe ngumi awe special kwajili ya kina Bruno maana inaonekana ndo watakuwa wanafanya vile tukikutana Kila siku