Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hili goli, wamelilazimisha, mpira kutoka, faulo, kisha offside. 😂
 
Licha ya goal la kupewa la Newcastle but huwezi kuwa na Mid ya Jorginho na Kai utegemee maaajabu never ever haitakaa itokee tumeshapiga Grants na wadau maumivu tutakutana nayo morning tulishajua what will happen
 
Tukiwa tunawaeleza ukweli Acha kuweka mapenzi ya kipumbavu kwa team wakati ukweli moyoni unao kwa mid ya Kai na Jorginho huwezi pata results abadani so next time ukiwa unaelezwa na wakubwa wako uwe unaelewa
Acha uboya basi,ficha upumbavu wako....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…