Hiii mnafanya ionekane mbaya na kuumizia sanaMuwe mnaandika 5-1 home, 5-1 away. Sisi ni ndugu mjue.
Sote tunajua Newcastle ni timu nzuri tangu msim uliopita ila bado sijaiona Newcastle ya kuifunga Arsenal inayotegemea kuchukua ubingwa msimu huu sote tunajua hawa vijana walikutana na Manjesta utd timu mbovu iliyojichokea sana msimu huu
Ndugu yangu Smith Rowe humu ndani watu hawapendi kuambiwa ukweli ujue, sasa hivi wataanza kukuita mamluki shauri yako.Baada ya matokeo ndiyo unasema hivyo?
Utasingizia Rice? aliingia dk 57
Au Viera ambae mara nyingi amekuwa akitupa matokeo timu ikiwa inamuhitaji?
Hamna cha kisingizio tukubali tuu hamna haya ya kujiaminisha kila mechi wakati hata timu nyingine zinahitaji matokeo.
Kuna watu humu kazi yao ni kusifia tuu hata kwenye ukweli hawakubali,
Hahahaha kuna wachache hawakubali ukweli.Ndugu yangu Smith Rowe humu ndani watu hawapendi kuambiwa ukweli ujue, sasa hivi wataanza kukuita mamluki shauri yako.
Ukiwa shabiki wa Arsenal hautakiwi kuwa open minded, muda wote unatakiwa uwe unasifia na kupongeza tu.
mtatolewa na mashindano yote yaliyobaki halafu mwisho wa msimu mtajikuta mmebaki na sinia tu la ngao ya jamii kima nyie.
Nataka huu ubishi uendelee
Coz umeshuhudia tukifungwa kizembe na nyukesto akishinda.Mechi ya leo sijui kwanini nakosa imani, May God Proves me wrong
Nataka huu ubishi uendelee
kwa sababu umeshuhudia uchezaji wetu umekosa offensive rthymMechi ya leo sijui kwanini nakosa imani, May God Proves me wrong