Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa mwaka huu Nyumbu walitupa taulo kipindi Cha pre season

Kenge hawana ata hiko kitaulo Cha kutupa ulingoni

1. Arsenal NDOO
2. City
3. Spurs
4. ?

Newcastle, Liverpool, Brighton, Aston Villa, Fulham or westaham?
 
Kwa mwaka huu Nyumbu walitupa taulo kipindi Cha pre season

Kenge hawana ata hiko kitaulo Cha kutupa ulingoni

1. Arsenal NDOO
2. City
3. Spurs
4. ?

Newcastle, Liverpool, Brighton, Aston Villa, Fulham or westaham?
Kaka kweli nyumbu na kenge huwapendi, hata nafasi ya 4 huwapi!😂😂🙌
 
Mkuu unawapelekea moto sana wapinzani.. watakoma ubishi!😂

Ndo mana sishangai wakijazana humu tukisuluhu.
 
We jamaa Flano na pipi akikusikia...... hahahaha 🤣🤣🤣🤣.
 
EPL imekuwa ngumu Sana bila ku rise standard hata top 7 huingii

Astonivilla , Brighton , Newcastle wanazitaka nafasi za Europa league na Europa conference


Chelsea na Manjesta wasipokaza Top 7 itakuwa ngumu Sana kuiona


Kwa Ratiba ya Chelsea , ,after Game week 18-19 anaweza kuwa nafasi za 14-17

Manjesta Hawa wanacheza kwa Miujiza ,wanacheza wakiamini lolote linaweza kutokea
 
Why unaona Spurs ni suala la muda?kama unamaanisha hivi it means mwenye uhakika wa kuwa juu ni Manchester City pekee maana hata Arsenal last season alikaa top kwa 284 days akaja kuanguka mpira sio suala la kukariri
Hivi we jamaa ni arsenal fan kweli wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…