Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Aiseee kwenye game zote izo anatoka na goli mbili tu za kufunga basiHuyu asikusumbue ,vichwa maji Kama Hawa niachie ,kuanzia Next week nataka niweke kambi jukwaa Lao nitakuwepo miezi miwili
Timu ipo nafasi ya 11 tutaichabanga iende nafasi ya 13
Halafu nitaanza kutembea na hii ratiba Yao mpaka nihakikishe wanashika nafasi ya 17,
Nitalikodi jukwaa Lao kwa miezi miwili
I will be there no matter what
View attachment 2784015
Kuna mchezaji wa ligi kuuHaya mambo yapo sana, kuna mshakaji pia tulikua naye kitaa ni mwanangu tulikuwa tunapiga boli pamoja ila amenizidi miaka miwili na madarasa mawili tangu primary na baadaye sekondari moja.
Basi nikiwa form two yeye akamaliza form four, kwa miaka ya tisini std seven unamaliza na 15yrs so ukiongeza na minne ya sekondari akawa na 19yrs ila baada ya kumaliza form four, mwaka unaofuta akacheza under 17 national team na akendelea kwa mwaka mwingine.
Baada ya hapo akasajiliwa na JKT Ruvu wakampa na ajira, akamalizia soka lake hapo ila mshkaji alikuwa bonge ya player na ni versatile haswa. Alikuwa anacheza CB, holding midfield, attacking mid, both wings na ni CF hatari sana.
Huyu kama angekuwa spotted mapema angeenda nje na naamini angekuwa na career nzuri sana kwa mazingira ya wenzetu ila ndio hivo kwa familia zetu tulikuwa tunazuiwa ‘kuzama’ kwenye soka kwa kuwa mpira haukuwa na defined future kipindi hicho.
Hii ndo inafanya madaktari wa Chelsea waonekane hawana uwezo,wanatumia dawa za watoto na vijana kutibu watu wazimaKuna mchezaji wa ligi kuu
Anajitambulisha kama ana 24.
Ila mimi niliyesoma naye nina 30.
Kuna Bondia maarufu.
Anajitambulisha kama ana miaka 26.
Ila mimi wakati nipo la 7 yeye alikua form 3.
Na mimi nina 30
Ronaldo na Messi wana umri mkubwa ila majeruhi yapo mbali
Kuna mchezaji wa ligi kuu
Anajitambulisha kama ana 24.
Ila mimi niliyesoma naye nina 30.
Kuna Bondia maarufu.
Anajitambulisha kama ana miaka 26.
Ila mimi wakati nipo la 7 yeye alikua form 3.
Na mimi nina 30
Wewe na wahuni wenzako humu ,mtajuta kushabikia asenyeto jumamosi .Have mercy on KENGE, Ata city hatukumpangia hivi, View attachment 2784186
Combine start eleven Kenge vs gunnersWewe na wahuni wenzako humu ,mtajuta kushabikia asenyeto jumamosi .
Hamtaingia humu miezi kwa aibu itakayowakuta jumamosi .
Asenyeto watoto wadogo sana ninyi , tutawatia adabu jumamosi ili mkome kabisa kutuzoea na ili iwe funzo kwa pimbi wengine watakaokutana na sisi msimu huu , naona mmekuwa viburi na mna madharau sana ninyi madogo siku hizi baada ya kuokoteza vipoint uchwara ,mmeota mapembe , jumamosi tutayakata hayo mapembe yenu , yaani tutaanza kutembeza mbata na makonzi kuanzia kwenu na tutaendelea na mwendo ni huo huo mpaka ligi inaisha ,hatucheki na kima tena .
Chelsea ni kaka mkubwa pale EPL ,sasa ninyi madogo mnaletea madharau kwa kaka mkubwa ,lazima mshikishwe adabu kikamilifu na mubashara .
Combine start eleven Kenge vs gunners
View attachment 2784509
poa ,we tuongeze hasira tu . Magoli yanazidi kuongezeka ,shauri yako .
Tatizo kwenye hizi ajira napo utakuta mtu anapata kazi ana 32 na katika ukoo yeye ndiyo wa kwanza so inabidi arudishe nyuma umri ili aendane na mahitaji.Daah yaan sasa huko ni michezoni ambapo atleast game inaweza kukuumbua, huku kwenye ajira especially za majeshi ambapo wana age limit ni kizaa zaa. Ukiachilia mbali vyeti feki, umri ndio balaa kabisa.
Huyu ndio atakayewadhalilisha siku hiyo ,na ana hasira na ninyi mno , mmekuwa mkimtukana sana .Sasa mtajua hamjui .
Mudryk siku hiyo msimpange, maana tunaweza tukamvunja
Safari hii mnataka mpigwe na Nani? Saka au martinel?
Wote wachovu hao , engine yenu ni Odegaard , yule Caicedo atamshughulikia ,hao wengine kilema Thomas na Mchele wa Mbeya bwana Rice tutawakabidhi kwa mapafu ya mbwa ( Ngolo Kante mpya ) Ghalladog.
Mudryk siku hiyo msimpange, maana tunaweza tukamvunja
Safari hii mnataka mpigwe na Nani? Saka au martinel?
Maandishi yako yanaonesha jinsi gani unalazimisha kujiaminiWote wachovu hao , engine yenu ni Odegaard , yule Caicedo atamshughulikia ,hao wengine kilema Thomas na Mchele wa Mbeya bwana Rice tutawakabidhi kwa mapafu ya mbwa ( Ngolo Kante mpya ) Ghalladog.
Hamtoboi wala kufurukuta nakwambia , yule Saka na Martinel watakutana na wanaume visiki huko akina James na crew yake .
Mwezi uliopita nilikua pande hizo chugaNipo Arusha ,mliopo Dar utaratibu wakumpokea mzee wetu Arsene Wenger upoje
Hana ubavu huo ,huyo kilema ,unataka tumtoe firigisi nini ?Maandishi yako yanaonesha jinsi gani unalazimisha kujiamini
Partey kasema dima aachiwe yeye. Yan kazi ya kukaba show nzima anasimamie yeye
Raya kasema yeye atacheza long balls tu
Arsenal imetangaza kazi ,Kama una sifa pita kwenye link , muhimu Sana uwe mbunifu wa social media , content ,ujue lugha ya malkia vizuri maana Kuna kuwafanyia interview wachezaji na staff
We're hiring a social media producer to join us Arsenal
You’ll be responsible for:
- Producing content for our club channels
- Reporting at men’s, women’s and academy matches
- Planning/conducting interviews with players and staff
Apply herearsn.al/GmCKbu6