Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huna ubabe wa kumfunga timu ya ovyo kama Lens Halafu unajigamba unajiita mwamba
, we subiri jumamosi tukutoe Manundu
 
Arsenal NDOO

FA, LIGI, UEFA

hapo tunapita na mawili, waamue wenyewe tuchukue lipi na lipi
Ninyi pimbi hamna ubavu wa kubeba ligi wala Uefa tena hiyo UEFA ndio msahau kabisa katika vinywa vyenu .
Ninyi kombe lenu li Karaghabao cup , na hiyo FA hamnusi msimu huu
Ninyi ni kama spurs Tu , gari la mkaa
 
Ninyi pimbi hamna ubavu wa kubeba ligi wala Uefa tena hiyo UEFA ndio msahau kabisa katika vinywa vyenu .
Ninyi kombe lenu li Karaghabao cup , na hiyo FA hamnusi msimu huu
Ninyi ni kama spurs Tu , gari la mkaa
Unajidhalilisha mkuu
 
Hilo ndio kombe lenu ,na msimu huu hamchukui ,kiufupi ninyi ni vibonde
 
Which signing has been the best value for money?


Gabriel Martinelli £6m
Aaron Ramsdale £24m
William Saliba £27m
Martin Ødegaard £30m
 
Hilo ndio kombe lenu ,na msimu huu hamchukui ,kiufupi ninyi ni vibonde
Huyu asikusumbue ,vichwa maji Kama Hawa niachie ,kuanzia Next week nataka niweke kambi jukwaa Lao nitakuwepo miezi miwili

Timu ipo nafasi ya 11 tutaichabanga iende nafasi ya 13

Halafu nitaanza kutembea na hii ratiba Yao mpaka nihakikishe wanashika nafasi ya 17,

Nitalikodi jukwaa Lao kwa miezi miwili


I will be there no matter what


 
Hao wote mechi rahisi kuliko zote ni kucheza dhidi ya timu mbovu kama Asenane
 
Ronaldo na Messi wana umri mkubwa ila majeruhi yapo mbali
 
Unasema?????
 
umekosa kazi
 
Kwny hii ratiba ataambulia point 4 tu akijitahidi ila akikaa vbaya atapata point 1 nayo ni dhidi ya Brentford🤠🤠🤠....Man U hawatakubali kudhalilishwa pale OT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…