Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ww na nyukesto yako mmebeba lini😀😀...rudi tena kwny msimamo kaangalie pale kigenge chako kiko nafasi ya ngapi na wale wanaume walokuwa wanapambana jana wako nafasi ya ngapi....pundits wakubwa kabisa wanakuambia Arsenal ni among Title favourites halafu ww mlugaluga wa Nanyamba huko unakuja kutuletea habari za sijui miaka 20 sijui miaka 80....kwni hao City kabla ya kubeba na Mancini kombe la EPL walikuwa wamebeba kombe mara ya mwsho lini...Guardiola kacheza UEFA miaka mingapi na City ndo wakaja kuchukua msimu huu...ina maana miaka yte walikuwa kuna sehemu wanakosea wamerekebisha wamebeba ndoo...sisi tumepoteza mwaka jana mwaka huu mechi nane tupo tyri pale juu....sasa tusiwe na hype kwmba mwaka huu tunaweza kufanya vzuri kisa mwaka jana tulibugi...mpira wa wapi huo😀😀...nyny endeleeni kuvutana na Manunu huko chini hzi anga za huku juu waachieni watu wazima....nyny bdo ni watoto wadogo sana
 
Wote tunajua script ya Arsenal mwisho wa msimu ni vilio tu😂

Historia ya Arsenal miaka 20 EPL haina tofauti na POVERTY CYCLE😂

 
Munamuotea man shitye mchovu ngoja mukutane an ukuni wa Enzo na Caicedo mulambe lolo
 
Kai atakuwa anacheza CF au LCM pale panapohitajika

Timu ikiwa fit ,Kai atasubiri bench kupokezana na Jesus
Kai havertz sio LCM, at lcm tutamtukana kama tunavyofanya, Havertz ni CF, moja ya kitu kilichofanya tusuesue toka mwanzo wa msimu ni Mikel Arteta kufeli kubalance hizi attacking dynamics. Havertz kwenye LCM ni bora tumrudishe Xhaka January.
 
Kai havertz sio LCM, at lcm tutamtukana kama tunavyofanya, Havertz ni CF, moja ya kitu kilichofanya tusuesue toka mwanzo wa msimu ni Mikel Arteta kufeli kubalance hizi attacking dynamics. Havertz kwenye LCM ni bora tumrudishe Xhaka January.
Kikosi kikiwa full kabisa our Midfield Ni Partey Ødegaard na Rice

Kai anakuwa False 9

Amecheza LCM sababu tulipoanza Ligi

Zinny alikuwa injury ,hivo Partey ikabid atumike Kama RB Inverted ,
 
• The longest winless streak between Arsenal and Manchester City was between 1992 and 2006, as Manchester City was unable to beat Arsenal during this period.

• The two teams faced off 19 times during this period, with Arsenal winning 16 times and drawing 3 times. During this period, Arsenal scored 39 goals against Manchester City, while City scored 9 goals.

• There were no direct confrontations between the two teams in the league in the years 1997, 1998, 1999 and 2000 due to Manchester City’s relegation to the lower division. [@EPLworld ]
 
Nyie kondoo ndio kwanza mechi y 8, punguzeni matarajio. Mtaumwa kisukar mwisho wa msimu.
After international break inabidi tukupige hata 5-0 kwako ili uwe na adabu

Umekuwa na kelele sana
 
Sami Mokbel81 Moja ya chanzo Cha ukweli kwa habari za Arsenal , kaongea kumbe Arsenal ipo serious na Toney na Toney anaitaka Arsenal


Arsenal inamtamani sana. Inafahamika kuwa Toney anaitamani Arsenal pia.

Kwa upande wake Mikel Arteta, Toney anafaa kabisa kwa Arsenal.

Umbile lake huweka alama
kwenye sifa nyingi anazohitaji Arteta

[@SamiMokbel81_DM]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…