Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tanzania tungkuwa tunashangili hivi kama hawa jamaa hapa......ingekuwa poa kweli sema
 
Arsenal hawana uwezo wa kuchukua ubingwa kwani hawana team
watu wanalaumu wachezaji badala ya coach
Coach ndie wa kulaumiwa kwanini hakufanya usajili wa maana wakati akijuwa key payers going away,
Arsene ndie wa kuondoka kwa sasa
Changes is the only way can save Arsenal
 
Kipindi cha pili kinaanza na United wanapewa nafasi kubwa ya kushinda game hili lakini huu ni mpira na Arsenal wanaweza kutoa sare.
 
Heshima mbele wakuu, Mbu, Kunta, Manda, Richard, Balantanda, Wenge Musica na wengine, sina hiyana nanyi, nawajua nyie waungwana...Miye

Usongo ninao na Almoontazir Almunia Wacha..bingwa wa kelele mingi....je kwasaWacha umejificha wapi leo? Au bado uko kanisani ukiomba? Maana hata kama ulikwenda MSikitini au ndio wapata futari...ni kilio....

Rev. acha tu ndugu yangu huu mwaka ni balaa kwetu!!! Unless kumefanyika la maana ndani ya hizi siku tatu!!
 
Leo tutabugizwa nyingi kwa moja,hiki kipigo muhimu sana kwa wenger,tupigwe hata 8 hivi ndo akanunue wachezaji bila ku-bargain himmbafff!
 
anakosa...lalaaaaaaaaaaaa angemmpa chicharito wangefunga
 
ahsavini anazunguka tu na mpira wala haatoi pasi.....kona sasa kwena kwa asno
 
Back
Top Bottom