Heshima mbele wakuu, Mbu, Kunta, Manda, Richard, Balantanda, Wenge Musica na wengine, sina hiyana nanyi, nawajua nyie waungwana...Miye
Usongo ninao na Almoontazir Almunia Wacha..bingwa wa kelele mingi....je kwasaWacha umejificha wapi leo? Au bado uko kanisani ukiomba? Maana hata kama ulikwenda MSikitini au ndio wapata futari...ni kilio....