Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,546
- 6,500
Muhindi mjanja leo ajaingia kichwa kichwaMuhindi mbona kama Leo kaweka Odd kwa uoga sana
Hao jamaa wawili wasiookuwepo huwa tunastrugle sanaÇonfirmed
Saka and Martinelli both in today’s squad
Good news indeedÇonfirmed
Saka and Martinelli both in today’s squad
Inabidi January tuongeze Neto ,Hao jamaa wawili wasiookuwepo huwa tunastrugle sana
Sasa watu wanaichukulia poa hii mechi ,kana kwamba ma city anakuja kubeba pointMuhindi mjanja leo ajaingia kichwa kichwa
Ndo maana nikasema asume(practicaly likely not).Kaifunze kwanza upangaji wa makundi unakuwaje
Mpira haupo hivo ,usiishi kwa historiaNdo maana nikasema asume(practicaly likely not).
Point ni kwamba Arsenal hawezi kudefeat Man city, Madrid wala Bayern ya wakati wowote kwenye game mhimu za any merit title race.
# Asenyo NdooIn Arteta we trust
Arsenal NDOO ndio inaanza leo
Hakuna statistics zozote za ku undermine hivyo vilabu in favour to Arsenal. Rejea hata ranks za UEFA na FIFA hata head to head merit game(s) to tittle race.Mpira haupo hivo ,usiishi kwa historia
Madrid na huyu Bayern wasasa Ni wakawaida Sana
Barcelona nae vile vile
Narudia msiishi kwa historia
Jitahid muangalie na Ligi nyingine, Bayern Munich ya Sasa Bora ukutane na Brighton
Hizo timu zimeuwa na mihimili hasa world class players maeneo Kama GK,CF na Midfielders
Nakupa homework endelea kuwaangali hao utagundua hata manjesta anaweza kupata matokeo vzr tu
Leo Arsenal anashinda# Asenyo Ndoo
#Kai Balon D'or
Naona Mancity leo anaenda kuendelezea palepale alipoishia msimu ulioisha. View attachment 2775282
Rank hazichezi , ndio maana last season Mancity aliwabonda kwa aibu Sana hao Madrid na baryenHakuna statistics zozote za ku undermine hivyo vilabu in favour to Arsenal. Rejea hata ranks za UEFA na FIFA hata head to head merit game(s) to tittle race.
Mara ya mwisho ametuma ngao# Asenyo Ndoo
#Kai Balon D'or
Naona Mancity leo anaenda kuendelezea palepale alipoishia msimu ulioisha. View attachment 2775282