Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kushtukiza wapi bhn. Sijui matokeo ya mwisho yatakuwaje ila first half man u wamecontrol mechi.
Give credit where it is due. Shida yako ni kwamba hutaki ku acknowledged hatua ambazo Man u imepiga.
Matokeo ya 2-0 ya pre season

Mkajimaliza

Sasa hivi vipi kuhusu hao manjesta?
 
Na hapo ndio mmeweka your strongest lineup dhidi ya Manchester United C hapo bado hajaingia Rashford,Casemiro,Onana,Ericksen leo naziona 5
Vipi kwasasa hii manjesta iliyoshinda 2-0

Mkatamba Sana ,

Au mmeshajisahaulisha ?
 
Jamani tunakumbushana tu maana binaadamu tumeumbiwa kusahau.
Hizi ni mechi za mwisho zilizochezwa baina ya Arsenyau na Mancity kwenye Epl.
Hapo Aggregate inasoma goli 15 - 3
Naomba tu msiniulize mwenye goli 3 ni nani?
 
Wana Arsenal wenzangu hapa kwa Rice tumepigwa na West Ham mchana kweupee
Cheki huyu ,mechi ya Pre season mlishinda 2-0


Ukatamba na kudai Rice Tumepigwa

Msimamo wako Ni upi ewe nyumbu Hadi sasa
 
Tuliposema Rice hawezi kucheza lone DM mkawa mnabisha. Watu wanapita tu, Havertz naye mmepigwa.
Na wajinga wenzako wakakupa na like na kukupongeza


Ujinga wenu mnamfananisha Mikel Arteta na Tapeli 7hag


Haya toka aumie Partey had anarudi Lone DM kakamatia Rice ,na manjesta yako aliikanda
 
Leo mapemaaaa Spurs anaenda kuonja zake kale kabaridi kule juu kwenye Top of the table, Arsenyau msimu huu kuja kukaa pale juu msahau kabisa.
Ni rahisi kwa chelsea kwenda kuchezea barafu lakini sio kwa Asenyau mjaa laana aliyekaa pale juu kwa siku 258, zimebaki mechi 8 bado anaongoza ligi kwa points 8 halafu inabaki mechi moja ligi iishe yeye yupo nyuma kwa points 8 jinga kabisaaa.
 
Pamoja mkuu
 
ukishamuanzisha partey na rice kwa pamoja.. zinchenko huenda akasubiri kwanza.

so it is either zini aanze full back af partey ama rice mmja wapo asubiri ama waanze wte partey n rice ila zinchenko ale mbao ndefu.
Sio kweli
 
Huko sahihi 100%, Swali nalo jiuliza tutaweza kutumia chances tutakazo tengeneza kwa ufanisi mzuri (Critical finishing)

-Sababu city Kule mbele ana watu wenye njaa na wanaojua kuweka mpira kwenye Net.

-Arsenal big game uwa tuna tatizo la kutokumaliza mchezo mapema, alot of chances lakini End product haionekani.
 

Acha makasiriko mkuu.
 
 
Halafu Masingeli alivyo na IQ kubwa akishasikia hizo kejeli za Pep anakuja kujitapa humu kua Pep na Supa kompyuta wamesema Arsenyau ni bingwa wa top foo
Brentford anawanyoosha
 
Manjesta walivyo hawana akili watakuja kupiga kelele humu
Hawajui kubaki na huyo kocha Ni hasara kubwa Mara Mia wangefungwa wapate kocha awanusuru mbeleni
 
Na msimu hatutengenezi nafasi nyingi kama msimu uliopita.

Kesho ni kipimo tosha kwetu.
 
We subiri kesho tuje kuwajazia nzi humu hapatakalika
Kesho mancity naiman atauona Moto wetu

Uzuri sisi hatutakaa nyuma

Aje kwa Step aisee

Kesho tuna midfield ya

Øde Partey Rice

Mbele

Saka Kai Jesus au


Saka Jesus Trossard

But Kuna sauti inaniambia Kuna surprise package ya Martinelli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…