Mpira haujaisha , magoli tumefungwa sababu ya uzembe na uzoefu mdogo wa mabeki, ndio tunalia Wenger asajili mabeki wazoefu, pamoja na yote we have nothing to loose now, nahisi tunaweza kupata japo mabao mawili ila na sisi huku nyuma sidhani kama hesabu ndio imekwisha.
Arsenal wanatakiwa waspend pesa,Wenger aache ujinga.Tizama sasa Chicharito huyo licha ya Welback kuumia,hawana shida,na pengine chicharito atafunga ili kutaka kupreserve nafasi ambayo Welbeck ameichukua kwa muda sasa.
...I beg to differ mkuu, he needs to correct his mistakes. He is still the right man for Arsenal, but needs to sort out his problems sooner than later...!!
I said so,nasikitikakusema kuwa wanaweza kulimwa goli tano leo.Man U ni a very young team,full of energy,kama wasipofight back watalimwa na kuwa embarassed.
msimu uliopita walikosa nafasi shauri ya back ilikuwa mbovu na jeuri eti hakuna beki nzuri inayoizidi Arsenal
Mimi unazi unaanza kuondoka hii board ya Arsenal ina umuhimu wa kuondoka
Goli la Tatu bado matatu baada ya half time