Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiukweli kai bado hajafikia mchango wa alichokitoa xhaka. Kwa upande wangu kama martineli hatakuwepo ningependa Kai acheze 9 jesus na saka pembeni
Arteta aliwahi kusema hajmaleta Kai Kama mbadala wa Xhaka,

Bali Ni Arsenal ibadilike kutoka kucheza na Xhaka na kucheza vingine


Na wengi wanaomlaumu Kai Ni wanaomfananisha Kai na Xhaka

Kai hajafikia kucheza vzr sana Wala vibaya

But sio kweli kwamba Hakuna mazuri anayofanya na ndiyo yanampa nafasi kuanza
 
Mikel Arteta confirms Bukayo Saka is in contention to play against Manchester City on Sunday.

He also confirms Thomas Partey is back and will be in the squad.

While Pep Guardiola has said John Stones is not fit for the game this weekend.

We can do this. #afc
 
Cha-mbuzi

Cha- goat

Cha-mmeeee
 
Hakuna anaye mfananisha na xhaka, ila jamaa uwezo bado mdogo sana Hakuna alicho ongeza kwenye Team.
-Angalia sajili ya Rice na ina impact gani kwenye Team.
-Same kwa Timber kabla ya injury unaona kabisa kuna kitu tuna benefit uhitaji kutumia akili nyingi.
-Sasa uyu KAI Mnajikuta mnachambua Details za kijinga ambazo hazina mchango wowote kwenye Team.
 
kucheza na city inabidi uwe timamu kimwili na umakini wa hali ya juu katika dk zote tisini.

hakuna kocha ambae anaweza kumzuia pep asicheze mpira wake anoutaka.

muhimu kuvizia nafasi ikipatikana unatia kamba watu wanarudi kati ila kucheza nao kwa kushindana ni ngumu..
 
Kiukweli kai bado hajafikia mchango wa alichokitoa xhaka. Kwa upande wangu kama martineli hatakuwepo ningependa Kai acheze 9 jesus na saka pembeni
9? Wakati kufunga hawezi....!! Ni mara 10 tumuweke Trossard kama 9 na ESR kama left wing ila sio hii takataka haina msaada wowote yupo slow sana kwenye attacking.

Tutazidi kupoteza mechi kila tukiforce kum accommodate kwenye mechi.
 
Hili sio kwa Arsenal hii ya ku overload na ku win aerial duels.

Easy game kwa False Hopes Fc. Li-tarakalishi kubwa kabisa(supercomputer) limetabiri Arsenal anashinda 3 kwa 1.

Huku Kai master akiwa na goli na assist
 
Nasemaje! City wakitaka kupishana tutapishana.. Lakini lazima tucheze mpira wetu.

Mambo ya kukaa nyuma tuwaachie nyumbu.
 
Kwa hali ya majeruhi ya kikosi cha City,Gunners mna nafasi kubwa sana ya kushinda mechi ya kesho msipoweka ujinga wa kupress na kuwin aerial duels kupitia Kai. Chezeni direct football kwa kutumia viberenge wenu kama mnataka matokeo na sio sifa za kijinga za kushinda with style.
 
Martinelli ana pace, Saka ana pace, Jesus ana pace, Trossard ana pace.

Trossard na jesus wanaweza kucheza upande wowote. Kocha mwenye hawa wachezaji 4 akiamua kufocus na ushindi na siyo kutaka kutunishiana msuli angeacha lcm akae Trossard. Kulia Saka, kushoto Martinelli na katikati Jesus.

Kisha mid ni Rice na Partey

Backline ile ile ya siku zote.

Hao wanne wanakua hatari kwa kaunta na kufosi.

Erlki kichwa ngumu angekua na hao wanne yale maneno ya jeuri aliyoanza nayo angekua anayatoa kila siku
 
Halafu De li capitano ode asicheze au?
 
Tuna tatizo la kutokua na shot takers wa nje ya boksi.

Odegaard alipofika alikua ana hilo tatizo. Akalifanyia kazi shida inakuja kwamba ni peke yake kafanyia kazi na siyo constant shot taker. Anaweza akashoot mara moja na asirudie tena.

Same na Saka.

Naamini kuna kitu tunakosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…