Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Umemzungumza akiwa hana mpira, embu mzungumze akiwa ana mpira ana ofa nini?
 
Tunafuta uteja, city anakaa round hii

Ila Kai akianza...siku itakua ndefu sana upande wetu
Hatuna wachezaji wa kuamua mechi Muda wowote, City licha ya majerui na kukosa baadhi ya key player ila wachezaji alio nao wana kuadhibu muda wowote vizuri tu.
-Nketiah na KAI ndio tuwategemee, labda bahati iwe upande wetu.
 
Granit Xhaka sio kiungo mnyumbulifu kama Kai.
Kai magoli, King of aerial duel, pressing machine, Master of interchange.
Hizo ndio sifa timilifu za King Kai zilizothibitishwa na Masingeli Chambuzi nguli la soka lenye leseni yake ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi.
Kai piga kazi baba, tunaimani na wewe, wewe ndie mkombozi pekee tunaekutugemea utakae ivusha Asenyo kwenye bahari ya Shamu na kuifikisha kwenye nchi ya Ahadi.
In Kai we are trust bila yako wewe baba haya makombe ya Epl na Uefa tutaishia kuyaona tu kwenye video.

 
Hivi nyumbu mnapata wapi nguvu za kuja humu kiumeni?
 
Sijaweka mahaba , halafu Hakuna sehemu tunasema Kai kafit mfumo ,na sio kweli kwamba Kai anacheza vibaya au vzr ,hata average rating yake Ni 7.0, so huwezi kusema anacheza vibaya au vzr Sana ,tunachopinga Ni chuki zisizo na maana

Moja Kati ya mechi ambayo Kai amecheza vzr Sana Ni vs Mancity akicheza as CF

Alifanya kila kitu kasoro ball striking na siku ile angetoka hata na Goli 2.

Unapomzungumzia mchezaji madhaifu na ubora wake ,mtendee haki ,ukiweka chuki huwez kuona zuri lake hata moja .


Nketiah au Kai mwenye faida CF Ni Kai hili halihitaji akili nyingi kujua

Unapocheza na timu Kama city lengo Lao la kwanza Ni kukuzidi kiungo , kukufanyia buildup kuanzia nyuma

How comes umtegee nketiah ambaye hawez kukusaidia kufanya press ,hawez kukusaidia kurudi kiungo , hawez kukusaidia kuwin duels
 
Umemzungumza akiwa hana mpira, embu mzungumze akiwa ana mpira ana ofa nini?
Kama unafanya analysis vzr kabisa eneo la LCM wapo watu ambao wanaweza kukupa Radha tofauti na Kai na wanastahili kuanza ,vile vile kama unataka kumtumia Kai as CF na una nketiah, Kai ana faida kubwa

Labda uweke chuki ambazo sijui zinatoka wapi,

Mech na city, Community shield, Kai alicheza vzr tu as CF, na ni nafasi ambayo naona atatumika Sana sababu karejea Partey ,hivo Rice atashift LCM,

Kwa malayman wa soka ukimwambia mtu umuhimu wa Duels(aerial na ground) hawez kuelewa kamwe, mfano manjesta kwasasa timu nyingi zinawazid maeneo hayo ,ndio maana wanafikiwa kirahisi ,hawashindi mipira ya 50/50 ,


Unapocheza na City unahitaji kummatch maeneo mengi ,kwenye kiungo utamuhitaji CF wako arudi kusaidia ,Je nketiah anaweza hiyo kazi?

Utahitaji kiungo wa phase ya 2 wawe angalau wawili kupokea mipira ,Nketiha anaweza Hilo?

Pale mbele ukiwa na Jesus ,Kai una uhakika wakupora mipira au kuzuia isiende maeneo hatarishi ,sio nketiah
 
SAKA atakuwepo 90%

Mikel Arteta confirms that Bukayo Saka is in contention to face Manchester City this weekend and Thomas Partey is ahead of schedule and will be in the squad.


#ARSMCI
 
Acha Uongo wewe na huyo Kai wako,hivi huo Mpira huwa unaangaliaga mwenyewe??UONGO UONGO tu,khaaa
 
Mikel Arteta kuhusu upatikanaji wa Thomas Partey kwa Arsenal dhidi ya #ManCity:

"Yuko mbele ya ratiba. Tulitaka kuwa naye kwenye kikosi. Hatukuweza kumchezesha Jumanne [vs Lens] kwa sababu tulikuwa na mahitaji mengi... "
 
Acha Uongo wewe na huyo Kai wako,hivi huo Mpira huwa unaangaliaga mwenyewe??UONGO UONGO tu,khaaa
Kusema tu acha uongo bila kupinga hoja zangu kwa fact,huon Kama wewe Ni zezeta?

No research no right to speak

Pinga kila kipengere kwa hoja na mifano vivid,utaonekana una akili


ila kukurupuka tu kusema ACHA UONGO bila hoja

Mimi nakuona ni mtu mwenye chuki,Sonoma ,zezeta ,mpumbavu


Hivi mmesoma shule gani na vyuo gani hivyo msivyofundishwa kujibu hoja kwa hoja

Ndivyo wasomi tunavyoishi ,

Thus why sipend kujibizana Sana na akili ndogo ,maana akili ndogo haiwezi kujadiliana na akili kubwa .
 
utawaaminisha ujinga na kuwalisha matangopori haohao mazezeta wenzako,hujui lolote kwenye Mpira zaidi ya kuzungusha makalio tu
 
Kiukweli kai bado hajafikia mchango wa alichokitoa xhaka. Kwa upande wangu kama martineli hatakuwepo ningependa Kai acheze 9 jesus na saka pembeni
Hili swali mbona lilijibiwa Sana

Kai sio Replacement ya Xhaka

Anayefikiria Kai Ni replacement ya Xhaka hajui Arsenal inachezaje,na ndio hao timu ikidrop point wanachojua kutukana kumlalamikia Kai


Arsenal tuna LCM watano, Rice,Smith Rowe,kai,Vieira , Trossard

Kila mmoja hapo akicheza hilo eneo wanacheza tofauti na kila mmoja huwa anacheza kwa malengo tofauti na mwengine akicheza hapo


Sasa ukiona mtu anasema Kai Ni replacement ya Xhaka , anakuwa haelewi Arsenal inachezaje ,inajengaje mashambulizi,akicheza Rice je malengo ni yapi ,akicheza Kai malengo ni yapi

K
 
utawaaminisha ujinga na kuwalisha matangopori haohao mazezeta wenzako,hujui lolote kwenye Mpira zaidi ya kuzungusha makalio tu
Toa fact tukuelewe ,

Ndio Maana mnajenga Sana chuki

Kama unataka kujadili na Mimi

Jiandae kwa evidence za takwimu,picha ,hata na video


Kusema tu mm muongo, na matusi mengine

Ni kiashirio huna hoja

Na Kama huna hoja unatakiwa ukae mbali na Mimi ,maana utaniona adui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…