Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hamis77 utatukanwa sana.. Ni vile watu wengine hapa tunaheshimu mawazo ya mtu na hatuna kauli kali. Ni ngumu mtu kumuaminisha uongo kwa watu wenye uelewa na hicho kitu. Inatia hasira sana aisee.
Hao Wana mihemko timu zao mbovu

Hilo Group Arsenal lazima aongoze

Utake usitake ,hatuzungumzii kupita ,nazungumzia kupita kwa kuongoza

Hili nalo linahitaji mjadala?
 
Manjesta ana point 0, kupata ahueni wanakuja humu

kwa mpira waliopiga Copenhagen Jana , manjesta pale akatafute sare
 
Nimeshasema sana hapa kwamba Arteta ni kocha wa mid-table teams. Hana mbinu za kushindania makombe makubwa. Yupo too predictable.

Huwezi kwenda champions league unacheza mpira wa back passes namna ile halafu useme unashindana. Mwaka jana wale Sporting CP walitutoa kwa kucheza mpira exactly kama walivyocheza Lens jana.

Sasa hivi amebakia Saliba, Jesus na Rice ndio wanaonyesha tofauti. Wachezaji wengine wote wamebaki na mentality za kitoto. Zinchenko na Odegaard ni wachezaji wa mechi laini tu.

Yote haya ni tatizo la Arteta kubakia na mentality ya mid-table teams. Sehemu ya kufanya transition na kwenda faster kupiga counter unashangaa mchezaji akifika katikati anasimama na kusubiria opponents warudi kujipanga.

Kwa uchezaji wa aina hii tusahau milele kubeba kombe lolote kubwa. Timu zote, hata Barcelona enzi zile ipo moto ilikuwa inapiga pasi nyingi lakini sehemu ya counter wanapiga. Sasa sisi kila siku tunacheza style ileile.
 
Ukiangalia hiz stats unaona kabisa ,Arsenal kufungwa Ni sawa na Kujikwaa au kunguru kumnyea mtu ,


Wale Ndugu zangu hata kukaa na mpira hawawezi


Ni mpumbavu pekee Tena ajitokeze hapa aseme Arsenal hataongoza hili grupu

Swala la kupita Ni lalazima , nazungumzia Kuongoza kundi


Anayejiamin hatutaongoza Hili kundi ajitokeze tuweke mzigo , Sitaki maneno mengi ,Timu ikifungwa ndio mnajitokeza
 
Nyumbu , Newcastle ,wakijitahidi Sana wataenda Europa


Narudi wakijitahidi Sana


Sasa endeleeni kupiga kelele humu mnajifariji Arsenal Kujikwaa
 
Acha maneno mengi🤠🤠🤣🤣...sijui grup la kuwahiana sijui rotation nyng...HAPANA hiyo hatutaki...sisi leo tunataka tuone bolu likipigwa na binafsi ntakuwa bega kwa bega na ndugu Mbappe...Ramsdale mechi ya jana isingemfaa whether ukubali au ukatae....wale Lens wanapress vzuri sana...ile mipira angekuwa anabutuabutua sana na kutuweka under pressure...tunazungumza tactically hapa sio ushabiki...PSV mwaka jana ugenini si tulitunguliwa na Ramsdale akiwa pale golini na mechi tuliishika vzuri tu....kwhyo hyo sio sababu kwmba yy ni mzuri sana kuliko Raya....tunakubali tumefungwa🤠🤠...ongeeni ndugu zetu...ikifika saa nne usiku na sisi tunaanza kuwawangia....ize tu
 
Manjesta endeleeni kujifariji humu

Ila msimu huu mchambuzi nguli nilishawatabiria nafasi ya 12 inawahusu
 
Manjesta endeleeni kujifariji humu

Ila msimu huu mchambuzi nguli nilishawatabiria nafasi ya 12 inawahusu

Hizi mechi mnazobondwa Sasa Ni saizi yenu

Subirini muanze kukutana na wahuni
 
Mbona watu wanatema nyongo kama vile arsenal hawezi kufungwa. Nimeamini kuna mashabiki wa arsenal viazi yani wanafata mkumbo . Mbona me naona ni kitu cha kawaida.
 

Unajua kwann Man u si habri tena kufungwa kwasababu ninyi mbawasagia sana kunguni man u.
 
Yeah matokeo kama haya ambayo kimsingi hayana madhara sana ni muhimu pia kwa benchi la ufundi hasa pale mashabiki tunapoona kitu ambacho technical staff hawaoni.

Nilishasema saka anahitaji mapumziko.mapumziko haswa.
Kai sio mchezaji mbaya ila pia sio mchezaji tunayemtarajia.
 
Arteta anafikiri atambadilisha kai kama alivyombadili xhaka😂😂😂,anashindwa kutambua muda haumsubiri fezi foo sio ya kumsubiria mchezaji abadilike😂😂😂...
Kai anafanya timu icheze kwa kumsubiria yeye maana anatabia ya kujichanganya changanya umiliki wa mpira bado sio mzuri,akiwa na boli haelewi afanye nn anajikuta anapuyanga.

Siku atakayokubali kai ni taka taka ndio itakuwa muda umepita na saa zimeenda😂😂😂

Waliokaribu na arteta wampelekee ujumbe huu kuwa akubali kumtumia kai dk 30-20 za mwisho tu zitamtosha kujitafuta.


Kitendo cha kupewa penati apige jmo kinaonyesha mpaka sasa kai anaitegemea timu na sio timu kumtegemea yeye😆...
 
wewe kama nani unasema sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…