Martinel hii game ya man city inamuhusu Sana ujueBukayo Saka is also in training and will be fit for RC Lens tomorrow
Martinelli not expected to make the game vs RC Lens, but Arsenal still very hopeful that he will train and return for Man City
Tactically tunahitaji mtu mmoja wa pemben ambaye Ni Runner tumtumie kwenye transition ,thus why Mikel anapenda kuanza na Martinelli over TrossardSehemu ya Kai acheze Jesus
Sehemu ya Jesus acheze trossad
Mnavyo mtetea utasema kinda la miaka 18 ndio linajitafutaHadi sasa kitu anachonikera Kai ni kuwa na kama low confidence akiwa na mpira, hauwezi ukamuona anapiga penetration pass kama Fabio Viera.
Lakini mwangalieni vizuri tunapokuwa tunashambuliwa au wanagombea mipira (hasa ya juu, jinsi anavyowin kirahisi), utagundua kimtindo flani Kai ameimprove workrate yake. Kaangalie Tena marudio ya game iliyopita alafu ujiulize Tena kwa workrate ile kusema ni mtumishi hewa ni sawa?
I got uTactically tunahitaji mtu mmoja wa pemben ambaye Ni Runner tumtumie kwenye transition ,thus why Mikel anapenda kuanza na Martinelli over Trossard
Mancity wakipoteza mpira wanarud kwenye rest defence Yao yenye 4CBs , bila kuwa na runner inakuwa ngumu kuwafungua
Kaangalie magoli wanayofungwa lazima awepo Runner ,Juz Pedro Neto kawakimbiza kutoka mbali Hadi Goli .
Saka anategemea 1v1 huwez kumkuta kwenye kutanguliziwa mpira mbele ,
Trossard the same
Nime prefer Jesus sababu
Atacheza Kama Winger asilia
Atatusaidia kufanya pressing Ni best kwenye pressing ,plus Kai Ni best kwenye pressing, na saka
So tutakuwa na pressing nzuri pale mbele
Lakini tukifanya transition ,Jesus Ni mzuri kukimbia nyuma ya mabeki
Hii ndio sababu na prefer tuanze na
Jesus Kai Saka
Na hapo ni mzoefu wa EPL,yule Kai ni KIAZI tu hana lolote jipya,ni Mtumishi HewaMnavyo mtetea utasema kinda la miaka 18 ndio linajitafuta
#jokes
Tumchukue huyu January, ni winga mzuri japo ni mtu wa majeruhi.Pedro Neto:
"If you want to be a football player, then you have to watch English football...My favourite team was Arsenal."
Kiazi Kai Harvert atolewe kwa mkopoTumchukue huyu January, ni winga mzuri japo ni mtu wa majeruhi.
Atasaidia kwenye rotation ili Saka nae apumzike. Pia ataongeza quality.
Na round ya pili ndio huwa na majeruhi sana kwa sababu kuna mechi nyingi za kufatana kwenye mashindano tofauti.
Tuchukue huyu na Ivan Toney, wengine namuachia Arteta mwenyewe.. then we are set for EPL/UCL/FA/EFL title races.
Chelsea tunakuja kutoa hiyo bikra, uliza gari lishawaka huko, kama huamini muulize De zebri.Martinelli asubiri Chelsea tu...akawatemeshe bungo maana kuna yule sijui Mkohoti huwa anamkosea sana hishma braza Martinelli kumuweka ligi moja na yule sijui Mudiriki sijui nn🤠🤠🤠....ila tungeanza kwnza na Chelsea tukatest mitambo kabla ya kwnda kucheza na Man City ingekuwa poa sana
Huyu jamaa msimu huu amekuja kivingine ,anauwasha Sana Neto ,halafu linapiga winger zoteTumchukue huyu January, ni winga mzuri japo ni mtu wa majeruhi.
Atasaidia kwenye rotation ili Saka nae apumzike. Pia ataongeza quality.
Na round ya pili ndio huwa na majeruhi sana kwa sababu kuna mechi nyingi za kufatana kwenye mashindano tofauti.
Tuchukue huyu na Ivan Toney, wengine namuachia Arteta mwenyewe.. then we are set for EPL/UCL/FA/EFL title races.
Leo mna kibarua baadae kidogo🤠🤠🤠...mnacheza na madogo wenzenuChelsea tunakuja kutoa hiyo bikra, uliza gari lishawaka huko, kama huamini muulize De zebri.
Kuna mjapan mmoja yupo real sociedad nimesikia tunahusishwa naye anaitwa Takefuso Kubo, hatari sana huyo mtu, jaribu kumfatiliaTumchukue huyu January, ni winga mzuri japo ni mtu wa majeruhi.
Atasaidia kwenye rotation ili Saka nae apumzike. Pia ataongeza quality.
Na round ya pili ndio huwa na majeruhi sana kwa sababu kuna mechi nyingi za kufatana kwenye mashindano tofauti.
Tuchukue huyu na Ivan Toney, wengine namuachia Arteta mwenyewe.. then we are set for EPL/UCL/FA/EFL title races.
Namjua Take, ana profile nzuri.. Tuwaachie Arsenal wenyewe na Arteta.Kuna mjapan mmoja yupo real sociedad nimesikia tunahusishwa naye anaitwa Takefuso Kubo, hatari sana huyo mtu, jaribu kumfatilia