Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tunakutaka wewe sisi liver hatumtaki
 
Victor Osimhen [2020]

β€œI spoke with Arsene Wenger after the tournament (Under-17 World Cup) ended and he wanted me to come to Arsenal...Of course, one day I'd like to play for a big club in England”
Big club in England sio arsenal tu, zipo zaidi ya 6 brother....huyo kazivutia zote top six
 
Kwa kauli kama hii ndio hua unawatbua kina Flano na genge lake
huyo Masingeli ni Motivational speaker wala hatupi tabu tumeshamzea.
Hapo kuchomoka kwa wagonga nyundo tu kimbembe halafu yeye tayari ameshajitangazia ubingwa tayari, akibahatika kuchomoka kwa westham huko mbele kuna Liverpool, Chelsea, Newcastle au Man Utd.
Ila hata hivyo Masingeli analichangamsha sana hili jukwaa pamoja na lile jukwaa letu Manyumbu, bila ya Masingeli sidhani hata kama ningekua na mzuka wa kushinda humu na Misukule ya Arteta.
 
Big club in England sio arsenal tu, zipo zaidi ya 6 brother....huyo kazivutia zote top six
Hata kama ndoto yake ni kucheza England ila sidhani kama Madrid wakimtaka kwenda kuziba pengo la Benzama atachomoa.
 
Wewe haugopi kucheza na bingwa mtetezi?
Mwenzio Masingeli anaomba dua tutolewe na Newcastle ili asijekukutana na mbogo alietoka kujeruhiwa
Ofkoz gemu na Nyukesto mtashinda vzuri tu na sisi wale watoto wadogo West Ham tutaenda kuwafundisha bolu pale kwao🀠🀠🀠....baada ya hapo tutakutana na nyny na nna wasiwasi mtakuja tena Imarate....tuje kuwafundisha tena nn maana ya kuovalodi kiungo🀠🀠
 
Natamani iwe ivo lakini karoho kananisuta
 
Tunao ijua arsenal tunaelewa haina madhara kwenye makombe, licha ya mashabiki wake kupiga nduru humu ila matokeo ya mwisho tunajua mnamaliza trophy less.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…