Shabiki mbishi sana weweππ.Timu yako imecheza na spurs?
Mimi nawakumbusha maana hawa false hopers huwa wana tabia ya kusahau haraka sana ndo maana unaona kulishwa false hope hawaachi maana inafika kipindi wanasahau kama yale ya mwanzo yalikua matumaini bandia
Jana tu hapa walitoa proposal baada ya kushinda na psv wanataka wacheze na man city tu ili kujua ubingwa apewe nan. Tukawasikiliza tukaona hivi huyu arteta na pastor Mackenzie wa humu ndani wanawalisha nini hawa binadamu mpaka inafikiwa kutoa kauli kama hii , tukakubali basi kama ni ivyo ngoja tuwape hawa spurs hapo hapo emirates mkiwafunga basi tupi tayari kusikiliza ombi lenu. Now naona wanaanza kulaumiana wameshasahau kabisa proposal waliotoa humu ndani .
Yaani we pimbi kushinda mechi moja tu ushaanza kuzunguka kusumbua watuHichi kiungo nazi ndiyo mnafananisha na watu wa kazi? Kweli Arsenyani! π€£
View attachment 2761173
Kula chuma hicho!Yaani we pimbi kushinda mechi moja tu ushaanza kuzunguka kusumbua watu
Hua ninafurahi mnavyoanza kupata matumaini halafu mnafirimbwa mnaanza tena kulalamikaKula chuma hicho!
View attachment 2761277
Nazidi kumuelewa pep kwanini kila dirisha ananunua na kuuza baadhi ya wachezaji unoweza kuwaona wa muhimu
Team toka nikiwa shule msingi mpaka leo sijaona ikiichukua ubingwa hii laana kwa kweli.
Sio timu ya kwanza kudhalilishwa, kuna wengine nao walisha wahi pigwa 8 hapo nyumaSheffield hali ni mbaya.
Mtangazaji anasema huu ni udhalilishaji
Yaan wewe Kenge kushinda mech moja tena kwa kubahatisha ,tayari ushaanza zunguka majukwaa ya watuKula chuma hicho!
View attachment 2761277
Umepata kwa kupumua Sasakumbe na wewe ile proposal uliiona?
Aiseee mi nilivyoona ile kauli nilibaki mdomo wazi nikawa nasali kimoyomoyo ili wewe usije ukaiona maana nilijua ukiiona tu mzee wa maevidence na mavivid examples basi tayari Arsenyau wamekwisha
Ile wewe jamaa uwepo wako humu hua ni faraja kubwa sasa kwetu sisi wapinzani wa Arsenyo.
Namna navyotazama mpira na kuutafsiri kama mchezo nitofauti kabisa na wewe mkuu.hii draw imeanza kufanya akili ziwakae sawa , bado kidogo tu akili zitakuwa zimewakaa sawa sawa kabisa.
Mbona kama vile unataka kumtupia lawama arteta hata na yeye ananunua na kuuza baadhi ya wachezaji wa muhimu , shaka kauzwa then kaja kai havertz, Rice kanunuliwa then kauzwa lokonga sasa shida iko wapi.