Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna muda nilijipa kazi ya kupitia highlights za strikers waliopita arsenal kuanzia miaka 15 iliyopita up to the moment and nikajifunza kitu.

Jamani arshavin alikuwa mtu hasa.ni rahisi kumuona van persie ila that arshavin was superb.

Kukokota,kasi,jicho na accuracy yake was next level.kama ulitamani kuona wachezaji waliokuwa na uwezo mkubwa wa link up play jamaa alijua sana.


Muda ni hatari sana ukipita umepita acha tupambane na nketiah wetu.liverpool wanamjua huyu jamaa

wenger nahisi alikuwa akimpa majukumu ambayo hakuwa akiyapenda sna jamaa..

yeye wenger aliona atokee pembeni lkni ki ukweli arshavin ni mchezaji wa katikti eneo karibu na goli zaidi.
 
Teamnewsandtix

Moja ya chanzo reliable kwa habari za Arsenal ,

Inasemekana tayari Ivan Toney kashabadilisha wakala ,na move yake Ni kwenda Arsenal


Kuna mtu alisema humu juzi Kuna asilimia kubwa tukamsajili Ivan Toney sababu Arsenal now days wamekuwa wanasajili wachezaji Loyal kwa klabu

20230919_154603.jpg
 
"Ivan Toney is going to leave Brentford in 2024 - 100 percent".

he'd prefer to stay in the Premier League!



(@FabrizioRomano
 
"Ivan Toney is going to leave Brentford in 2024 - 100 percent".

he'd prefer to stay in the Premier League!



(@FabrizioRomano
Ukiniuliza mm kati ya hyu na Ivan Ferguson nakwnda na hyu....hyu ana Kila kitu cha kuku offer...hata mpira wa Fujo anacheza hyu msela
 
Gabriel Martinelli, unsurprisingly, is NOT in Arsenal training today. #afc
 
Martinelli hatakuwepo Kesho, nitafurahi nikimuona Nelson akianza , huwa anakiwasha Sana ,Ni muda apewe nafasi

But Kuna Trossard na Smith Rowe wanataka nafasi ,
 
Arteta on UCL return: "Proud and excited. It's been a long time for the club since we've been in the competition.

"We're looking forward to it."
 
Arteta:

"Martinelli felt something in his hamstring. We need to do some further tests to assess." Adds he's out of the PSV game and "it is a possibility" he could miss Sunday's north London derby.
 
Arteta on the reaction to the GK situation.

"For me, there is nothing different. We've been doing it for many years. When Bernd was here we bought Aaron."
 
Mikel Arteta on response of Aaron Ramsdale since dropping to the bench:

"Honestly, I don't want to talk about response of every single player in the squad when they play or not. Sorry."
 
“He felt something in his hamstring and we need to do some further tests to assess if there’s any big damage. He will be out for tomorrow. It’s a possibility (he will be available for Spurs).”

Mikel Arteta on Gabriel Martinelli.
20230919_175924.jpg
 
Jesus on the younger players feelings ahead of the UCL debut:

"Well, for sure. Yesterday some of them was joking with the music. I think everyone is happy. Not just the players, the club, the fans."
 
Mikel Arteta says he hasn’t played Fábio Vieira enough and he’s been delighted with his performances in recent weeks.
20230903_212258.jpg
 
Reporter: “How do you feel about UCL returning to The Emirates?”

Arteta: “The only venue in London as well, brilliant”
 
Hebu tujuzane kwanza huyu ni beki,kiungo,winger au striker?.kuna siku mtamkuta golini anadaka

Kabla hajaanza kudaka mpatieni japo kombe hata 1 ndani ya uzi wenu yasijekuwa yaleyale ya wilshere mpaka anatundika jezi ya arsenal alikuwa na zero trophy.
 
Back
Top Bottom