mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Jamaa alitupa uwiano mzuri SanaNajiuliza hyu Timber angekuwa hajaumia hvi tungefungwa hata goli moja kwli???...maana naona tumefungwa magoli ya kienyejienyeji sana mpk Sasa...hyu jamaa pale nyuma alitupa stability ya ajabu kabisa


Noma sana huyu dogo sakaArsenal debut: Man of the Match.
European Championship debut: Man of the Match.
World Cup debut: Man of the Match.
Europa League debut: Man of the Match
Champions League debut:
GENERATIONAL TALENTView attachment 2754370
Kesho lazima afanye jamboNoma sana huyu dogo saka
Kuna game ilikuwa uefa alifanya kitu cha ajabu, nakosa maelezo mazuri na si rahisi kuipata ile clip, sababu halikuwa goli ila akili iliyotumika pale ni ya ALBERT EINSTEIN.Kuna muda nilijipa kazi ya kupitia highlights za strikers waliopita arsenal kuanzia miaka 15 iliyopita up to the moment and nikajifunza kitu.
Jamani arshavin alikuwa mtu hasa.ni rahisi kumuona van persie ila that arshavin was superb.
Kukokota,kasi,jicho na accuracy yake was next level.kama ulitamani kuona wachezaji waliokuwa na uwezo mkubwa wa link up play jamaa alijua sana.
Muda ni hatari sana ukipita umepita acha tupambane na nketiah wetu.liverpool wanamjua huyu jamaa
Anaichezesha midfielders huku anatoa Somo𝐏𝐎𝐖𝐄𝐑𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐌𝐈𝐃𝐅𝐈𝐄𝐋𝐃𝐄𝐑, 𝐌𝐈𝐃𝐃𝐋𝐄 𝐎𝐅 𝐓𝐇𝐄 𝐆𝐀𝐌𝐄
Kila Declan Rice akiwa uwanjani kuipambania jezi ya Arsenal namkumbuka PEP GUARDIOLA, Rice akifanya Undava wake naiwaza sana ada yake ya uhamisho halafu naelewa kwanini PEP alitaka kufanya mapinduzi kwenye dili lake.
Unaelewa kwanini baada ya ile pauni milioni 90 ya Arsenal lakini City akaenda kuongeza 10m, nikaelewa zaidi why MIKEL na Arsenal yake wakaenda kuongeza MZIGO.
Declan ni FULL PACKAGE eneo la kiungo, anafanya majukumu yote (Deeplaying marking, Inteception, anashinda Aerial Duel, Ball carrier halafu ni MTULIVU).
Licha ya PARTEY kuwa kitandani lakini ameonyesha kazi anaiweza, nitaendelea kumuelewa kuanzia kesho (UEFA CHAMPIONS LEAGUE). halafu kuna LONDON DERBY. Bila Partey
NB. Sasa England wata relax? Wana RICE, JUDE, FODEN, SAKA na wakali wengine. Mmmh
ZingoView attachment 2754596

Ana mpira bdo anatoa maelekezo🤠🤠🤠🤠....angefaa kuwa Captain ila Sasa ndo kuna super Odegaard ypoAnaichezesha midfielders huku anatoa Somo
Ana interceptions za kikatili na kimafia Sana, hazionekani Hadi utulize akili
Ingetokea city kambeba hiki chuma, Just imagine city yenye Rice pale dimbani,
View attachment 2754678
Msimu ujao anakua captain msaidiziAna mpira bdo anatoa maelekezo....angefaa kuwa Captain ila Sasa ndo kuna super Odegaard ypo

Hebu tujuzane kwanza huyu ni beki,kiungo,winger au striker?.kuna siku mtamkuta golini anadakaThe Zinchenko role.
Bado sijaona mchezaji Kama Zinchenko kwasasa kwenye hii modern football,Kama yupo mtajeView attachment 2754702
Mkuu fanya kutafuta hiyo clip utuwekee humu na sisi tufaidiKuna game ilikuwa uefa alifanya kitu cha ajabu, nakosa maelezo mazuri na si rahisi kuipata ile clip, sababu halikuwa goli ila akili iliyotumika pale ni ya ALBERT EINSTEIN.
Ngumu kupata copy yakeHebu tujuzane kwanza huyu ni beki,kiungo,winger au striker?.kuna siku mtamkuta golini anadaka


Arsenal see Ivan Toney as there next big investment with a move for the player set to come in January or next summer. The Brentford striker would cost upwards of £65m. Arsenal would have moved for him this summer had he not faced a ban from the FA so move delayed.