Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hapo hatuzungumzii mambo ya historia ndugu yangu, tulichokua tunakizungumzia ni false hopes hizo mnazopeana na kina Masingeli, hii ndio kwanza mechi ya 5 ya ligi mnadanganyana kiasi hiki wakati kuna mechi 33 zilizosalia.
Mkiambiwa mpunguze false hopes mnahisi kama vile mnaonewa wivu, wakati mmejionea wenyewe msimu uliosha jinsi wanaume walivyowatanguliza mbele kwa points 8 halafu zimesalia mechi 3 mkashindwa kushikilia bomba.
Sisi hatuna false hope mkuu🤠🤠🤠....unaona tu mambo yanavyoenda unajua kabisa hata msimu tutakuwa zile nafasi za juu....kwa sababu tunashinda na tunakaribiana na yule wa pale juu....Sasa nikikuuliza ww ndugu yangu msimu huu unadhani uta achieve nn kwa kuangalia form ya timu yako mpk Sasa utajibu nn bro....mnasubiri Bruno apewe pasi abutue mbele kumtafuta Rashidi Makame🤠🤠🤠....medali tunavaa msimu huu...Hilo halina ubishi maana tuna watu wa kazi....nyny mna kikundi cha mdundiko na kocha mpiga dili....nasubiri kwa hamu nione mechi yenu nyny na Chelsea nani atamuonesha mwenzie kwmba ana matatizo zaidi....nasubiri kwa hamu 🤠🤠🤠
 
Unanilisha maneno tu

Halafu Mimi nafanya analysis ya timu zote ninazoziona ,nilifanya mapema

Now makampun na supercomputer yamekuja kusema vile vile

Wanasema City Ndiye anapewa % kubwa akifatiwa baryen ,Arsenal mwisho Madrid

Vitu vidogo Kama hivi nitakufundisha mpaka lini

Tena hata huyo baryen yupo unga unga Sana

Sisi UCL tunasubiria ¼ fainal tutacheza na Nan Kati ya Madrid ,baryen ,au Mancity

Group letu haihitaji uchawi kujua tutaongoza , 16 Bora tutapewa mshind wa 2 wa magrupu mengine Kama kina AC Milan aliyekula 5 ,inter Milan, Porto , benfica,Napoli ,PSG

Hao Hakuna Ni timu ambazo huwezi kuzipa nafasi mbele ya Arsenal hii .


Ndio Maana Mimi binafsi naiwaza robo fainal kutoboa


Shida yako unafananisha Arsenal na manjesta ambayo imepigwa goli la aibu na Brighton pale OT ,kwa pasi 30 bila mchezaji wa manjesta kugusa mpira
sasa hapo mkuu Masingeli mimi nimekulisha maneno gani?
Wewe si ndio ulikuja hapa na utabiri wako wa SuperComputer imewatangaza Arsenyau kua ndio mabingwa wa Ucl 2023/2024?
 
sasa hapo mkuu Masingeli mimi nimekulisha maneno gani?
Wewe si ndio ulikuja hapa na utabiri wako wa SuperComputer imewatangaza Arsenyau kua ndio mabingwa wa Ucl 2023/2024?
Supercomputer na makampuni mengine yalikuja kuthibitisha kile nilichosema

Mwaka huu tunacheza fainal pale Wembley
 
- Declan Rice mastered the 6 role in 3 games at Arsenal.

- Rodri mastered the 6 role in 3 years at Man City with the support of Fernandinho

- Partey mastered the 6 role in 2 years at Arsenal

THE DIFFERENCE IS CLEAR
IMG_20230717_143434_932.jpg
 
Declan Rice’s first five games in an Arsenal shirt in the Premier League…

£100million bargain. Mr consistent.
20230918_131551.jpg
 
Naisikiliza hapa. Inanifikirisha sana. So tuanze kujiandaa kuona substitution za goalkeeper from now.

Huwezi kuwa kocha wa mchongo, ukawaza haya mambo.

In Arteta we trust.
Hivi ukimpiga sub nyanda halafu akaumia aliyeingia yule aliyetoka aweza kurudi? Hahahaha 🤣🤣.
 
Ulimgusa Nketiah akiwa bado kwenye offside position, a line was drawn to prove that
Kabla ya Nletiah. Gabriel Magalhaes alipoteza mpira, ukambabatiza BETO. Then ndo ukaja kwa Nketiah, move ya goli ikaemdelea.

Concern ya mdau hapo na mimi pia, ni kuwa inafahamika mali ikimgusa opponent, basi offside inakufa. Ikawaje pale iwe offside, wakati mali ilitoka kwa Everton player before haijafika kwa Nketiah?

T
 
Kabla ya Nletiah. Gabriel Magalhaes alipoteza mpira, ukambabatiza BETO. Then ndo ukaja kwa Nketiah, move ya goli ikaemdelea.

Concern ya mdau hapo na mimi pia, ni kuwa inafahamika mali ikimgusa opponent, basi offside inakufa. Ikawaje pale iwe offside, wakati mali ilitoka kwa Everton player before haijafika kwa Nketiah?

T
Nasubili jibu hapa na mimi
 
Kabla ya Nletiah. Gabriel Magalhaes alipoteza mpira, ukambabatiza BETO. Then ndo ukaja kwa Nketiah, move ya goli ikaemdelea.

Concern ya mdau hapo na mimi pia, ni kuwa inafahamika mali ikimgusa opponent, basi offside inakufa. Ikawaje pale iwe offside, wakati mali ilitoka kwa Everton player before haijafika kwa Nketiah?

T
 
hamis77 any updates from Martinelli injury so far?
Za harakaharaka inaonesha Ni Grade 1 hamstring ,anaweza kukosa Hadi wiki 3

Mpaka Sasa Hakuna taarifa rasmi ,kuanzia jion zinaweka kuvuja ,but uhakika zaidi kesho Kocha atafanya Press kuelekea mechi ya PSV

Jana alionekana anatembea vzr ,so haiwez kuwa injury mbaya Sana japo hamstring nyingine zinaweza kwenda hata miezi 2
 
Pep Guardiola has said Arsenal and Liverpool are the biggest threat to Manchester City's hopes of retaining the premier league title. Asked about Manchester United, he told the reporter to stop jokes.
 
| Arsenal goalkeeper Aaron Ramsdale’s future is being closely monitored by rival clubs after his role as first-choice was thrown into uncertainty.

Ramsdale’s situation is already interesting a number of teams, with Chelsea and Bayern Munich among those understood to be keeping abreast of developments amid a sense that Raya was likely to overtake the England international at some stage this season following his initial loan arrival from Brentford.

(@SamiMokbel81_DM)
 
Back
Top Bottom