Unanilisha maneno tu
Halafu Mimi nafanya analysis ya timu zote ninazoziona ,nilifanya mapema
Now makampun na supercomputer yamekuja kusema vile vile
Wanasema City Ndiye anapewa % kubwa akifatiwa baryen ,Arsenal mwisho Madrid
Vitu vidogo Kama hivi nitakufundisha mpaka lini
Tena hata huyo baryen yupo unga unga Sana
Sisi UCL tunasubiria ¼ fainal tutacheza na Nan Kati ya Madrid ,baryen ,au Mancity
Group letu haihitaji uchawi kujua tutaongoza , 16 Bora tutapewa mshind wa 2 wa magrupu mengine Kama kina AC Milan aliyekula 5 ,inter Milan, Porto , benfica,Napoli ,PSG
Hao Hakuna Ni timu ambazo huwezi kuzipa nafasi mbele ya Arsenal hii .
Ndio Maana Mimi binafsi naiwaza robo fainal kutoboa
Shida yako unafananisha Arsenal na manjesta ambayo imepigwa goli la aibu na Brighton pale OT ,kwa pasi 30 bila mchezaji wa manjesta kugusa mpira