Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Hahahaha 🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......
Hahahaha 🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......
Leicester Wana history gani pale EPL...unazungumzia watu waloshuka daraja mkuu🤠🤠🤠....timu Haina financial muscles yyte....no playing style...nilidhani tuta discuss kimpira kumbe unaongea kishabiki....ukitaka kufanya comparison ya matukio....wafananishe wale jamaa na nyny...wao walipata bahati ya kubeba ndoo wakashuka daraja....nyny mlipata bahati ya kuingia top 4 ila inavyoonekana mwaka huu kama mnaenda kupambana kutoshuka daraja 🤠🤠🤠...yaani mnashindana na Chelkenge kule chini kupokezana matatizoMwaka huu pale juu hamtapanusa hata kwa dakika 5, Leicester City na wao baada ya kuchukua Epl 2015/2016 msimu uliofata walikua na hesabu kama hizo zenu za kukaa pale juu, nendeni mkawaulize vipi walifanikiwa tena kuwa top on the table?
Msituletee habari za Le Supercomputer.
Hivi wazee sheria ya offside imekaaje maana jana mpira alipiga Gab ila ukamgonga mchezaji wa Everton ndo ukaenda kwa nketiah, hii imekaaje?
Ramsdale huwa ana wenge Sana halafu unakuta Ni muda wakutulia kulinda matokeo
Raya nimeona Ni mzuri kucheza Kross,long balls ,Hana papara kabisa
Jamaaa very good on ball,very comfortable,kama onana tu akiwa na mali mguuni,natamani awe ndio first eleven yetuRaya![]()





United shida kubwa ni management pamoja na tajiri, hawa wahuni wamefocus kuitumia brand ya United kibiashara zaidi kuliko mpira, na mbaya zaidi kila timu inavyoboronga wao wanazidi kupata wadhamini wanaoweka mpunga mrefu zaidi hivyo hawana wasiwasi wowote na matokeo ya mechi.Wanataka kukuingiza kingi na wewe uwe mmoja ya watu wenye false hope ni bora maumivu makali kuliko matumaini bandia mzee.
Yaani haijalishi arsenal atashinda vipi, we all know ikifika time to show balls kwa wanaume halisi lazima watakimbilia ndani zile match 10 za mwisho hapo ndipo vichekesho vitaanza baada ya matumaini ya muda mrefu.
Ila pole sana flano maana inaonekana makocha wote wameshindwa kwenda kuongea vizuriii na wale mashetani wekundu kwenye vyumba vya siri vya OTsijuii ni wachezaji sijuii ni makocha yaani vipigo mnavyopokea man utd hailewekiii tatizooo liko wapi
![]()
Inabidi mfanye kafara tu kama 1999maana mashetani wamekasirika , kama usajili mnafanya pesa mnatoa ila tatizo lipo palepale sio ole wala van gal wala josee
Grazzer wanahusika vipi na uchezaji wa kaunta na kuviziaUnited shida kubwa ni management pamoja na tajiri, hawa wahuni wamefocus kuitumia brand ya United kibiashara zaidi kuliko mpira, na mbaya zaidi kila timu inavyoboronga wao wanazidi kupata wadhamini wanaoweka mpunga mrefu zaidi hivyo hawana wasiwasi wowote na matokeo ya mechi.
Avram na Joel Glazer unaambiwa hata wakibeti hua wanaiua Man United kwenye mikeka yao, sasa kama mpaka boss anaamua kuiua timu yake kwenye betting sisi mashabiki tutegemee kitu gani?
Mali ya mirathi hua haina uchungu sana kama mali yako uliyoitafuta kwa jasho.
Kwa United hii bila ya kubadilisha mmiliki tunaweza kumaliza hata karne nzima bila ya kutwaa kombe lolote la maana hata tukisajili kikosi chote cha Mancity pamoja na kocha wao.
Hapo hatuzungumzii mambo ya historia ndugu yangu, tulichokua tunakizungumzia ni false hopes hizo mnazopeana na kina Masingeli, hii ndio kwanza mechi ya 5 ya ligi mnadanganyana kiasi hiki wakati kuna mechi 33 zilizosalia.Leicester Wana history gani pale EPL...unazungumzia watu waloshuka daraja mkuu....timu Haina financial muscles yyte....no playing style...nilidhani tuta discuss kimpira kumbe unaongea kishabiki....ukitaka kufanya comparison ya matukio....wafananishe wale jamaa na nyny...wao walipata bahati ya kubeba ndoo wakashuka daraja....nyny mlipata bahati ya kuingia top 4 ila inavyoonekana mwaka huu kama mnaenda kupambana kutoshuka daraja
...yaani mnashindana na Chelkenge kule chini kupokezana matatizo
Naisikiliza hapa. Inanifikirisha sana. So tuanze kujiandaa kuona substitution za goalkeeper from now.Mikel Arteta:
"Mimi ni meneja mchanga sana, nimekuwa na miaka 3 na nusu tu katika kazi na nina majuto machache.
Ilikuwa mara kwa mara, kwamba baada ya dakika 60 na dakika 85 katika michezo miwili katika kipindi hiki ningeweza kubadilisha kipa wakati huo, na sikufanya hivyo."
"Sikuwa na ujasiri wa kufanya hivyo, lakini nina uwezo wa kufanya mabadiliko ya winga au mshambuliaji na kumweka beki wa kati nyuma kutengeneza mabeki watano nyuma na kulinda matokeo hayo. Tulitoka sare kwenye michezo hiyo na sikuwa na furaha."
[Arsenal]
Masingeli acha kukaza hilo fuvu lako Mourinho alishajibu hilo swali lako miaka 4 iliyopita.Grazzer wanahusika vipi na uchezaji wa kaunta na kuvizia
Grazzer wametoa had €85m kwa CF
Ndani ya madirisha matatu wamempa 7mayai £400m
When United win - 7hag is the best manager, Licha is the best CB, Bruno best midfielder, rashford is best winger give him a Balon dorUnited shida kubwa ni management pamoja na tajiri, hawa wahuni wamefocus kuitumia brand ya United kibiashara zaidi kuliko mpira, na mbaya zaidi kila timu inavyoboronga wao wanazidi kupata wadhamini wanaoweka mpunga mrefu zaidi hivyo hawana wasiwasi wowote na matokeo ya mechi.
Avram na Joel Glazer unaambiwa hata wakibeti hua wanaiua Man United kwenye mikeka yao, sasa kama mpaka boss anaamua kuiua timu yake kwenye betting sisi mashabiki tutegemee kitu gani?
Mali ya mirathi hua haina uchungu sana kama mali yako uliyoitafuta kwa jasho.
Kwa United hii bila ya kubadilisha mmiliki tunaweza kumaliza hata karne nzima bila ya kutwaa kombe lolote la maana hata tukisajili kikosi chote cha Mancity pamoja na kocha wao.
Tupe matokeo ya mwisho. Mshkaji unawaaminisha wenzako humu kwamba UCL timu inayowasumbua kichwa ni MAN CITY tuu. Una balaa sanaMadrid anakimbizwa na Sociedad Kama underdog ,
Hizo habari kawaambie manjesta ,Arsenal tunasubiri Robo fainal tunacheza na NaniWakati wenu wa furaha ndo huu, kabla vilio vya UCL havijaanza.
Nimemuaminisha Nan,huo Ni mtizamo wangu kila mtu ana mtizamo wakeTupe matokeo ya mwisho. Mshkaji unawaaminisha wenzako humu kwamba UCL timu inayowasumbua kichwa ni MAN CITY tuu. Una balaa sana
Tupe matokeo ya mwisho. Mshkaji unawaaminisha wenzako humu kwamba UCL timu inayowasumbua kichwa ni MAN CITY tuu. Una balaa sana



huyu ndio Mc Masingeli a.k.a mchungaji Mackenzie, kazi yake ni kuziswaga kondoo za humu popote anapotaka ziende lazima zimtii. 




Unanilisha maneno tuhuyu ndio Mc Masingeli a.k.a mchungaji Mackenzie, kazi yake ni kuziswaga kondoo za humu popote anapotaka ziende lazima zimtii.
Kondoo za humu huziambii kitu kuhusu Masingeli, yaani tayari Masingeli kashaziaminisha Kondoo zake humu kua Bayern, Barcelona, Milan na Madrid wote ni wabovu hivyo hakuna timu yoyote ya kuwazuia Arsenyau kuchukua UCL msimu huu zaidi ya Man City.
Hapa Kondoo zote zinaiombea Mancity watolewe mapema ili Arsenyau atangazwe mshindi wa Ucl 2023/204
Akili za kiwaki kabisa hizi![]()