Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsene Wenger:

"I felt they (Arsenal) invested serious money in the last 4 years, they invested lot of money, but I must say they invested it well.

They still have a young team, a talented team. I think they learned from what happened to them last year."


"They couldn’t cope well with that, mentally it was very difficult. I’m sure they would’ve learned from that. Maybe they can take advantage of (de Bruyne injury, Gundogan leaving)

We have to deal with the UCL, so that costs points as well."
 
Unatusunbua humu lakin unajua jumamos una Brighton ,jumanne una Baryen
Usiwe na wasiwasi cha-mbuzi wetu nguli, naomba nikuhakikishie tu kua jumanne tunaenda kuwalipia kisasi Arsenyau kile mlichogongwa goli 10 na Baryen.
Sisi Utd kama kaka zenu hatuwezi kuwaona nyinyi wadogo zetu mkidhalilishwa na Wajerumani halafu tukakaa kimya, kitu tunaenda kumfanya Mjerumani lazima ajute kwa ile dhambi ya kuwaonea watoto wa Academy.
 
Baryen wakawaida Sana

Ila kwa manjesta hii ambayo hata pass 10 haiwezi mnapigwa na Brighton, Baryen anakuja kutonesha kidonda

Believe me kufikia mwez wa 12 mtakuwa mnanena kwa lugha
 
BREAKING:

Declan Rice has been nominated to The Best Award.
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
 
kwanini key players wetu wakisha sign new contract na wakiwa highest earners kwa club wanaanza kuwa flop...refer ozil,auba na half haverz

NB: siombei hiyo trend iwe kwa ode
Kai Ni new signing,Kuna taarifa zinasema sio kweli Kai Ni top earner ,Top earners Ni Jesus ,Saka ,Partey na Saliba ndio anafata Kai ,

Mbona Saka, Martinelli,saliba, wamesaini £180-200k per week wapo vzr tu

Saka nasikia Ni £200-250k
 
Xavi yupo but Arteta hayupo?Ange yupo wa spurs pia ?Saka hayupo kwenye best FIFA ?hizi ni tuzo au tuzo za Makalio(sorry to say this)it is unacceptable
 
Na supercomputer msimu huu imetabiri Manyumbu mnamaliza nafasi ya 15...kama kuna kaukweli flani hivi
 
BREAKING from

@SamiMokbel81_DM:

Arsenal are in advanced talks with Martin Ødegaard on a contract extension and talks with Ben White will begin.

 
Xavi yupo but Arteta hayupo?Ange yupo wa spurs pia ?Saka hayupo kwenye best FIFA ?hizi ni tuzo au tuzo za Makalio(sorry to say this)it is unacceptable

Xavi kachukua la liga na barca, Ange kachukua Scottish league na celtic .
Rice yupo pale kutokana na Europa conference league.

Arteta hana kombe lolote anaanza vipi kuwepo hapo? Saka hana kombe lolote anaanza vipi kuwa humo?

Wote waliopo kwenye list ni either wameshinda kombe lolote au alifika Uefa final.

Arteta na mwanao saka hawastahili kuwepo kwenye nomination hawana chochote cha maana ni zero achievement braza.

2nd place and Europa quarter final si sifa za kufanya mchezaji yeyote wa arsenal awepo kwenye list hio ni FIFA best , sasa unaanzaje kuwa best with nothing
na haujashiriki fainali yoyote ile.
 
Mtoe kwenye list

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Jamani mwenzenu Najaribu kuingia kwenye Uzi wetu wa Man united inaniandikia hv sielewi shida nin nyuzi zingne zote zinafunguka ila hii ya Manchester united ndo inagoma nimejaribu yangu Jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…