Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi sijui details nyingi sana za mpira ila nahisi Kai ni mchezaj mzur sana sema tunavitu vyetu vchache tunatazama sana goal contribution kuliko chochote
Lakin kwa watu wamekan wanauona umuhim wa kai(those important small details) ndo maana hatujawai kusikia KAI amepigwa bench na kocha yeyote aliyepta chel, tim ya taifa bado anaitwa, 90% ya football pundits wanamkubal, bado wakati wa kumsajil tulipambana na Real pamoja na bayern(ukute hata manyumbu deep down walikua wanamtaka🤣🤣). Hiyo yote inaonyesha Kai yupo vizur
Nawasilisha ILa hapo kwa nyumbu ni joke mnisameh
 
Bukayo Saka

“Before every game, I ask God to help me play well, help my team and try to score a goal or assist a goal and he answers my prayers, so this is why I point to the sky to thank him”
 
Zinchenko played Midfield for Ukraine

In Zinchenko Arsenal have another World Class midfielder, if we ever need it
 
Tomiyasu anachafua LCB mechi na Germany


Tomiyasu on either his left or right foot, his balls are just unreal.. His cameo against United playing as the inverted leftback moving into DM channels says it all.. A big season coming for him
 
£105m, Money talks, vitu vizuri vinahitaji heka sio maneno.
 
Bukayo Saka:


“I still don't know which position Zinny plays best, but he's good at everything.”
 
watu mlitaka tumsajili Anthony wa kuspin

mchezaji kucheza vizuri ama vibaya inaathiriwa na vitu vingi vya ndani ya uwanja.

inaweza kuwa ni mfumo ama wachezaji wenzie wanaomzunguka.

naimani.. antony chini ya arteta kwa sasa jinsi timu inavocheza.. angecheza vizuri even noni madueke pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…