Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu uliekomaa katika ubora wako

Chuma kuanzia 3 zipo pale pale, saka anaweka mawili
 
Ungeishia kuniuliza ningekupa jibu kisha ungehukumu.

Sijatoa jibu umekimbilia kuhukumu

Ukipata sehemu yoyote nikibeza ushabiki wa member yeyote wa Arsenal nionyeshe hapa.

Mfano niwe nimemuita shabiki feki au kumuambia atuachie timu.

Nionyeshe. Halafu ukishakosa nipe same challenge uone wakina nani wanajimilikisha hili jukwaa.
 
Wenger orphans leo nikulia na kusaga meno hamis77 ukwapi uchelewi kukimbia jukwaa wewe.

Tutacheka sana Leo hapa aise
 
Guys wanna arsenal tunahitaji positive energy,tunahitaji kuisupport club kwenye hali zote,ma swala ya kuisema vibaya kila saa timu ,muda wote tunaona ubaya tu wa timu ayo mambo tuwaachie kina Flano na wengine hiyo ndio kazi yako hapa na wanalichangamsha jukwaa.

Kuna watu humu ni wanarsenal ila muda wote wanaleta negative energy kitu kibaya chochote kinachuhusu timu mtu akisema wao ndio wanalike na kuquote,kizuri wanaongea kwa unyonge na wakati mwingine hawakoment kabisa.Tujitaidi kuendelea kummunga mkono hamis77 huyu jamaa ndio anachangamsha group pia yupo positive sana kuhusu timu yetu,kumuunga mkono mchezaji au kocha haimaanishi hawana mapungufu ila ni kwa sababu unatakiwa kuunga mkono kitu chako,na kwenye kutoa maoni ya kurekebisha inaruhusiwa bila kunyong'onyeza morali ya funs wezanko,yuko mtu kama toobiter huyu jamaa huwa anatoa maoni yake hata kama ni tofauti lakini unajua kabisa haisemi vibaya timu yetu.wote tunajua kazi nzuri anayofanya hamis77 kutuletea habari moto moto za timu yetu kiasi kwamba uzi wa arsenal unakuwa busy muda wote mpaka rahaa.

Let us support our team mambo ya kukuosa sana tuwaachie timu zingine,leo tuna mechi muhimu sana tupeane positive energy namna ambayo tunaweza kumkalisha man united,na tunapaswa kuwaje kiwanjani ili tuwe bora zaidi.sio tukisha shinda shabiki wa arsenal aje hapa kuanza kusema mnafurahia kuifunga united iliyojichokea.tujifunze kuifurahia timu yetu na kuikosa kwa staa,mambo ya banta,tuwaachie wapinzani wetu.

LEO ARSENAL LAAZMA TUSHINDEEEEEEEEE
 
Breaking Arsenal line up vs United #COYG #AFC

Ramsdale
White
Gabriel
Saliba
Zinchenko
Rice
Havertz
Odegaard
Saka
Nketiah
Martinelli
 
Manchester United’s starting XI today:

Onana; Wan bissaka, Lindelöf, Martinez, Dalot; Casemiro, Eriksen, Bruno; Anthony, Rashford, Martial.

[via @tonanesthetic].

#ARSMUN
 
Arsenal should be destroying that Manchester United defence today. At least 3 past it.
 
Breaking Arsenal line up vs United #COYG #AFC

Ramsdale
White
Gabriel
Saliba
Zinchenko
Rice
Havertz
Odegaard
Saka
Jesus
Martinelli
Kama hii ndio lineup, Ngoja tuone kama Zinny ataweza saidia huu upande wa kushoto
 
Arsenal should be destroying that Manchester United defence today. At least 3 past it.
Nimejikuta nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya kukuona tena humu ndugu yangu hamis77
Baada ya ukimya wako tokea asubuhi nikajua tayari umeshakula kona mapema kabla halijawakuta jambo saa 06:30
 
Breaking Arsenal line up vs United #COYG #AFC

Ramsdale
White
Gabriel
Saliba
Zinchenko
Rice
Havertz
Odegaard
Saka
Jesus
Martinelli
Nimefurahi kuona kiungo la boli Kai Havertz linaanza
 
Breaking Arsenal line up vs United #COYG #AFC

Ramsdale
White
Gabriel
Saliba
Zinchenko
Rice
Havertz
Odegaard
Saka
Jesus
Martinelli
Mkuu unapataje kikosi mapema yote hii

Partey Yuko wapi?
 
Nimejikuta nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya kukuona tena humu ndugu yangu hamis77
Baada ya ukimya wako tokea asubuhi nikajua tayari umeshakula kona mapema kabla halijawakuta jambo saa 06:30
Aisee
Nilikuwa bize na shemeji yako ili ninaposhangilia magoli Leo niwe mwepesi
 
FULL Arsenal XI:

Ramsdale, White, Saliba, Gabriel, Zinchenko, Rice, Odegaard, Havertz, Saka, Eddie, Martinelli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…