Uefa hio Pot 2 waliyowekwa ni ya moto hatari, tusubiri mpaka saa 4 usiku watakua wameshapanga makundi tayari.
Nina imani Asenyo atapangwa kundi moja na Madrid halafu wakimuongeza Inter kwenye kundi lao ndio rasmi itakua safari yao ya mwisho kwenye Uefa.