Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Kuna yule jamaa yao Madueke anaonyesha ana kitu, ila anajaziwa raia pale aisee ni hatariChelsea Hakuna timu pale ni kikundi Cha mdundiko
Timu kubwa manjesta?Possible, ila tatizo timu anacheza inaitwa Arsenal. Tim inakaa miaka 7 haijaingia champions league.
Ni mchezaji mzuri sana lakini. Ikitokea ameenda tim kubwa ni pottential baloon d'or winner
Hili picha la kutisha unajua limepigwa jijini Manchester? Yaani tumeenda kubeba mazawadi huko huko kwenye jiji lao manyumbu na kuwaacha wao wenyeji bila kitu. Siku hizi tuna roho mbaya sana sisi gunners.Kama kocha angekuwa anasikiliza makelele ya hawa mashabiki mimi nawaita mashabiki uchwara
Hapa Saka angekuwa ana struggle eneo la Beki , Ødegaard aliandamwa ni mlain hataiweza EPL ,anayefaa Ni buendia
Rams hafai atatushusha daraja
Uzuri Arsenal haisikilizagi makelele ,
View attachment 2733342
Mkuu niamini pale Hakuna timu ,wanasajili kila wanayehisi anajua mpiraKuna yule jamaa yao Madueke anaonyesha ana kitu, ila anajaziwa raia pale aisee ni hatari
Acha uongo wewe.Na Bruno je kapten wako mlalamishi miaka 27 kafanikiwa Nini , Ødegaard ndio safari anaianza
Still ana honors hizi hapa
Martin Odegaard trophies list
English Super Cup winner. Arsenal 2023.
Europa League participant. Arsenal 2022-2023. Arsenal 2020-2021.
Champions League participant. Real Madrid 2020-2021.
Spanish cup winner. Real Sociedad 2019-2020.
UEFA Supercup Winner. Real Madrid 2016-2017.
Champions League Winner. Real Madrid 2016-2017.
Hao watoto ukimpa 7hag anawapoteza ,Hili picha la kutisha unajua limepigwa jijini Manchester? Yaani tumeenda kubeba mazawadi huko huko kwenye jiji lao manyumbu na kuwaacha wao wenyeji bila kitu. Siku hizi tuna roho mbaya sana sisi gunners.
Hao watoto ukimpa 7hag anawapoteza ,Hili picha la kutisha unajua limepigwa jijini Manchester? Yaani tumeenda kubeba mazawadi huko huko kwenye jiji lao manyumbu na kuwaacha wao wenyeji bila kitu. Siku hizi tuna roho mbaya sana sisi gunners.
Una bishana ujinga🤣😁😁🤒Acha uongo wewe.
Champions league debut ya Òdergaard ni 2020. Jifunze kutembelea trusted sources achana na blogs.
Bruno malalamiko ana Nini had Sasa umri anasogea 30yrs soonAcha uongo wewe.
Champions league debut ya Òdergaard ni 2020. Jifunze kutembelea trusted sources achana na blogs.
Baada ya misimu mitano yaUsimfanishe Arteta na tapeli Wakiholanzi
7hag hakuna mchezaji yeyote pale manjesta aliyemtoa point A kwenda B
Unawaona hawa kwenye picha ni kazi ya Mikel
Na sasa anajiandaa kumleta fundi Ethan Nanweri, Fabio Vieira, n.k ,7 hag kapewa Sancho talent kaipeleka shimoni
7hag level zake kina David Moyes,Tony pulis ,Big Sam , View attachment 2734011
Nimemwambia mwenzio aachane na blogs na ww umerudia yaleyale.
Huyo shabiki wa manjesta ,wanakwambia 7hag Ni kocha Bora wakati mwaka wa 2 Hana playing style,anasajili kwa kubahatisha
Umehamia kwa Bruno ghafla sana.Bruno malalamiko ana Nini had Sasa umri anasogea 30yrs soon
Misimu mitano ipi , Arteta kaja 2019 DecemberBaada ya misimu mitano ya
Arteta genius haya ndo mafanikio yake.
Bado unamfananisha na mtu ambae huu ni msimu wake wa kwanza. Kama humjui vizuri 10hag, huyo ni champions league semi finalist na makombe ameyazoea. Ngoja mwarabu apewe tim awaonyeshe nini maana ya mpira.
Umewahi kuona Rashford kafunga 30 goals kwa msimu??Huyo shabiki wa manjesta ,wanakwambia 7hag Ni kocha Bora wakati mwaka wa 2 Hana playing style,anasajili kwa kubahatisha
Mimi siwakopeshi nawachana ,7hag hana uwezo wa kudevelop talent yoyote na toka afike manjesta Hakuna talent aliyo idevelop ,Zaid analalamika wachezaji wabovu
Anasajili yeye Ni wabovu zaidi
Mkuu hizi nyumbu Pina snapa kotekote, humu waone kituo Cha polisiNina asili ya Israeli , mzazi mmoja mbongo ,mmoja myahudi
Umekuja mbio mbio unamponda ØdeUmehamia kwa Bruno ghafla sana.
Umekosa picha la captain na makombe au sio. Achana na blogs za udaku
Akiku2mia tu mkuu unitag, na sina uhakika hata kama kwnye line up kama alikwepo.Nimemwambia mwenzio aachane na blogs na ww umerudia yaleyale.
Tunaomba basi picha yake akiwa na hio uefa super cup.
Laana hii 🤣😁Huyo shabiki wa manjesta ,wanakwambia 7hag Ni kocha Bora wakati mwaka wa 2 Hana playing style,anasajili kwa kubahatisha
Mimi siwakopeshi nawachana ,7hag hana uwezo wa kudevelop talent yoyote na toka afike manjesta Hakuna talent aliyo idevelop ,Zaid analalamika wachezaji wabovu
Anasajili yeye Ni wabovu zaidi