Ulitaka Leno abaki acheze wapi?
Tulimuuza Emi ,mpaka kesho anaichukia Arsenal ,itakuwa Leno ?
Halafu na wewe umehama Arsenal ?maana unasema tulimuuza wa Nini
Umekuwa Kama yule anayesema amehamia PSG mwingine Newcastle
Sijakutaja mkuu, na ili nisiwe na mvurugano na wewe kwa amani kabisa huwez kuniona nakujibu ,binafs umri wakumu attack mtu nilishapitaWewe hujui mpira na mafumbo yako kama demu.. umekalia majungu tu mpira huujui kenge wewe!
|| Arsenal are reportedly interested in signing Benfica’s 25yo RB, Alexander Bah. Bah can also play on both wings and CF [Via - @TipsBladet].
Yule jamaa ovyo Sana mguuni ,Kuna mechi tunahitaji kuwa clinical Sana vs Astonvilla,Westham na Fulham ,makipa wote huwa wanataka kutuonesha tulikosea kuwaacha ,hata last season mech zote za Villa ,Martinez alitusumbua Sana,Ndio maana nikauliza kama arsenal tuliona potential yake kwanini tulimuuza? Si angeendelea kuswap games na Ramsdale?
Tunaongeza beki nahisi na itakuwa poaAny business at the last minute, bei lazima iwe imesimama
Yule jamaa ovyo Sana mguuni ,Kuna mechi tunahitaji kuwa clinical Sana vs Astonvilla,Westham na Fulham ,makipa wote huwa wanataka kutuonesha tulikosea kuwaacha ,hata last season mech zote za Villa ,Martinez alitusumbua Sana,
Kipa ambaye Arteta aliandamwa Sana kumuuza nadhan kuliko mnavyomuandana kwa kumleta Kai alikuwa Martinez ,nilitetea Sana hili Jambo ,mwisho Martinez watu walimsahau na Martinez aliweka chuki kwa arsenal mpaka kesho ili Hali huyo huyo Arteta ndiye alimpa nafasi baada ya kukaa miaka 10 Arsenal na hukuwahi kuthaminiwa Zaid ya mikopo na kuwa 3 Rd choice
Hata Leno Kuna shit aliziongea ,
Kwasasa una David Raya na Rams ,top GK , Leno hawez kukaa meza moja na hao jamaa
Mimi nimezungumzia General
Wee jizime data tu.. Does this look like 'General'?Arteta Leo akiwa mazoezini,halafu anatokea mtu mmoja mla mihogo yupo ikwiriri anataka Mikel apange kwa kumsikiliza yeye
anakwambia Arteta panga hivi panga vile
Hao wachezaji uliwasajili wewe
Unataka Vita na Mimi ? Njoo inbox ,kujibizana na wewe nikupoteza muda ,ukinitaka hata face to face njoo inbox nitakupa locationWee jizime data tu.. Does this look like 'General'?
Mimi nipo hapa ukitaka tuendelee sina shida, it's up to you.
Wewe weka hapa mafumbo yako tuone what you got.. si umeanzisha vijembe vyako humu? Haya na tumalizie humu!Unataka Vita na Mimi ? Njoo inbox ,kujibizana na wewe nikupoteza muda ,ukinitaka hata face to face njoo inbox nitakupa location
Kumbe umehisi umetajwaWewe weka hapa mafumbo yako tuone what you got.. si umeanzisha vijembe vyako humu? Haya na tumalizie humu!
Kwa hiyo, hiyo ndiyo reliable source kwako?Kama wewe jamaa kujibiwa Ni matumizi ya MB
Sijawahi ona mtu asiyeshughulisha ubongo kufikiri au kuchanganua mambo humu Jf Kama wewe
Upo tayari kunipinga Mimi hata kwenye ukweli ilimradi tu utetee ujinga
Yaani unaona aibu Chelsea kutaka swap deal na Smith
Maana utaumbuka ,sababu wiki zilizopita tukikwambia mudrky Ni flop wakutupwa ,ulipokuwa unamfananisha na Martinelli
Sasa hata kwa Smith Rowe ambaye Hana namba Arsenal hamfikii , means Mudrky hata sub Arsenal hawezi kukaa
Ila Sasa kuficha aibu unaona Bora unishambulie Mimi Mara kuwaita watu chawa ,ilimradi tu
View attachment 2733741
Mbona simuoni Lord Havertz?
Tuna depth yakutosha ,Hakuna mchezaji wa ukengeni anayeingia first eleven yetuMbona simuoni Lord Havertz?
Sami Mokbel81 sio reliable?Kwa hiyo, hiyo ndiyo reliable source kwako?
Hakuna mchezaji wa arsenal wa kumuweka Harvetz nje.ndo maana ni panga pangua.Tuna depth yakutosha ,Hakuna mchezaji wa ukengeni anayeingia first eleven yetu