Ww chawa wa masingeli na wenzio mbona mnapelekwa kama makondoo hivi chelsea kwa akili yako wanaweza kumtoa Mudryk plus helaWao walijifanya wajanja kututibulia Hilo dili kipindi kile halafu leo wanataka tubadilishane nao...Kila mtu abaki na matatizo yake
Chawa wa masingeli😀😂😂🙌Ww chawa wa masingeli na wenzio mbona mnapelekwa kama makondoo hivi chelsea kwa akili yako wanaweza kumtoa Mudryk plus hela
Daaah😅😅Arteta hana akili kihivyo,acha kumpa sifa asizostahili
Hawa machawa kazi kupelekwa kama makondoo wanaleta story zao za vijiweni humu wanajiona wao wanajua kufatilia habari kumbe ni za uongoChawa wa masingeli
Humu ndani ni mwendo wa kusifu kama makondoo ukipinga Teta boli unatishiwa maishaHawa machawa kazi kupelekwa kama makondoo wanaleta story zao za vijiweni humu wanajiona wao wanajua kufatilia habari kumbe ni za uongo
Nakubali mkuu.Arteta yupo sana...na ninachokiona Emile Smith Rowe atabaki na Gabriel naye atabaki....tumecheza mechi tatu tu za msimu....si Kila mtu atacheza...tuna michuano mingi safari hii...mingi mno...Kila mtu atapata dakika za kutosha....mbona David Raya watu hawalalamiki hachezi mechi ya pili hii...Kai will deliver with time....j2 tunaanza kushinda mfululizo huku watu wakitoka na possession ya 80% kwa 20%....kuna mtu mwingine mmoja atasajiliwa kabla ya dirisha kufungwa.....nahisi on deadline day
Unataka tufanane mawazo mkuu🤠🤠🤠...nyny mnaopinga mbona siwashukii kama ni chawa wa kitu flani au mamluki....nimeshabikia Arsenal tangu mwaka 2000...kwa Sasa timu ilipo naona kabisa tunarudi zile zama za 2000-2004...Sasa kwnn nisiwe optimistic....sikulalamiki vpindi vigumu nilalamike Sasa kwli??🤠🤠🤠....HAPANA....glory days are ahead...Kai mtu na nusu🤣🤣🤣Ww chawa wa masingeli na wenzio mbona mnapelekwa kama makondoo hivi chelsea kwa akili yako wanaweza kumtoa Mudryk plus hela
Mkuu kama unataka ulete tamaduni za lile jukwaa Lenu hmu tutawajibu tu kwa namna mnavyokuja😅😅😅...Mount flop...Kai mtu na nusu🤠🤠...j2 mjiandae hatutaki lawama muanze kumporomoshea kocha wenu lawamaHumu ndani ni mwendo wa kusifu kama makondoo ukipinga Teta boli unatishiwa maisha
J2 mapema tushamaliza mwchi Rashford hat trick ila yule mwanetu anayepiga spana humu namuachia kitengo aendelee kutembeza spana za ugoko😂Mkuu kama unataka ulete tamaduni za lile jukwaa Lenu hmu tutawajibu tu kwa namna mnavyokuja😅😅😅...Mount flop...Kai mtu na nusu🤠🤠...j2 mjiandae hatutaki lawama muanze kumporomoshea kocha wenu lawama
Mnakaribia kumchukua Manywele Cucurella aje kuwasaidia kazi....imagine back line ya Cucurella...wan bissaka...Magwaya🤠🤠...na Martinez...kuna kitu kizito kitawakuta mkuu😅😅😅Masingeli tutake radhi mashabiki wa Manchester na Chelsea.
Duniani hakuna mashabiki wastaarabu na wanaojielewa kama mashabiki wa hizo timu kubwa mbili.
Tunaposemaga kila siku humu kua Arsenyau ni kigenge cha wavuta bhangi mue mnaelewa basi.
#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Hakuna mashabiki msijua mpira Kama manjesta na wa ukengeniMasingeli tutake radhi mashabiki wa Manchester na Chelsea.
Duniani hakuna mashabiki wastaarabu na wanaojielewa kama mashabiki wa hizo timu kubwa mbili.
Tunaposemaga kila siku humu kua Arsenyau ni kigenge cha wavuta bhangi mue mnaelewa basi.
#Arsenyo Ndoo
#Harvez Kiatu
Wewe shabiki wa ukengeni kumfunga Luton tayari Umeanza kutembelea jukwaa hiliHawa machawa kazi kupelekwa kama makondoo wanaleta story zao za vijiweni humu wanajiona wao wanajua kufatilia habari kumbe ni za uongo
Mumcheze na hyo Halaand wa mtumba mliyemleta....apandwe mara mbili na Saliba arudi kwny meza ya matibabu kutibiwa tena pingili za mgongo🤠🤠🤠....itakuwa ni maajabu ya nane ya Dunia Man U akipata matokeo J2J2 mapema tushamaliza mwchi Rashford hat trick ila yule mwanetu anayepiga spana humu namuachia kitengo aendelee kutembeza spana za ugoko😂
Hamna akili ,ndio maana huwa nawaambia ukweliWw chawa wa masingeli na wenzio mbona mnapelekwa kama makondoo hivi chelsea kwa akili yako wanaweza kumtoa Mudryk plus hela
Kama kwenu kule mnasifu 7hag Ni kocha Bora wakat hata timu kucheza haieleweki inacheza NiniHumu ndani ni mwendo wa kusifu kama makondoo ukipinga Teta boli unatishiwa maisha
Mtu akikubaliana na mm amekuwa chawaChawa wa masingeli
Astaghafirullah halafu unayaandika haya macho makavuuuuu.Emile ana finishing nzuri na ball striking nzuri kumzidi Mudryk, Sterling, Kai, Nkunku, Noni, Jackson, Chukwuemeka na forwards zote za chelsea.
Usiwaone kenge wajinga kutaka kumuachia Mudi