Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii habari Kama huwezi kuzipata mm Sina msaada na wewe

Una smart phone Lakini unaitumia kwa ujinga ,
 
Taratiibu tunaanza kuelewana.
Tunaelewana wapi mkuu, tatizo mnalazimisha vitu visivyokuwepo

Arsenal hii hamkumtaka hata Jesus asajiliwe ,Arsenal hii hamkutaka hata saka apewe jezi no.7

Arsenal hii mmemuandama Sana Eddie Nketiah ,

Arsenal ya Sasa wachezaji wote watacheza ndio maana mm nasema Kai atacheza na vile vile atasubiri yote ni kulingana na Aina ya mechi

But Kamwe Arteta hawez sikiliza kelele za mashabiki uchwara

Hakufanya hivo kwa ozi,Auba Saga

Hakufanya hivo kwenye sajili zake

Hakufanya hivo alipowapa saka na Smith no.7 na 10

Tunakumbuka criticism alipomsajili Øde huku mkimtaka injury prone maddson
 
Hivi Pepe na Harvetz nani ni TAKATAKA??binafsi Harvetz ni UHARO afadhali ya Pepe
 
Smith yule dogo kwanza ni Gunner wakutupwa halafu ana uwezo mkubwa tu, yule dogo msimu juz alipiga goli 10 EPL ,

Msimu huu Kuna dalili akauwasha tena Moto

Sasa huyo mudrky tutamchukua labda mwakan kwa mkopo

So unaona had Sasa Hana hata goli 1


Kukubera walinunua kwa £62m ,Leo w kumtoa mkopo kwa tapeli Ten egg kwa £2m

Chelkenge nikwenda nao kwa akili, msimu ujao mudrky atatolewa mkopo ,mark my words

Last season wakati wanamchukua kukubera niwasema Hakuna anachomzidi Nuno Tavares Tena Tavares ni zaidi yahuyo Kukubela nikaweka na stats kabisa ,nilishambuliwa Sana had na mashabiki wa Arsenal wenzangu walikuwa hawamtaki Zinny wanamtaka huyo Kukubela


Nikawaweka stats wote Wana goli 1 moja na wote walifunga vs manjesta,Nuno anamzid Kukubela kwenye attacking

Nilionekana nazingua tu,

Leo Kiko wapi

Mashabiki wa manjesta ni mashahidi kocha wao toka awali niliwambia no tapeli tu ,sababu sajili zake ni za mchongo Basi na yeye atakuwa wa mchongo

Leo wanadai Hana Talent ID,Hana playing style, n.k mambo niliyoyasema miezi 8 iliyopita

Sasa hivi had Ambangile mshabiki wa unyumbuni anakubalina na Mimi

Soka Lina misingi yake na taratibu zake ,hizi kelele za Kai zimejengwa na chuki Wala sio kingine
 
Unasoma udaku, ukishaona inafurahisha moyo wako unawaletea mikondoo wenzio, chuja habari.
Comment zako tu Mimi huwa natambua uwezo wako wa kufikiri ni mdogo

Unaweza kuniambia habari ya Chelsea kumtaka Smith na kufanya swap na makalio mudrky imetokea vyanzo gan,halafu uniambie hivyo vyanzo Kama ni udaku au lah


Kuna muda hatuwajibu sababu akili kubwa kujibu akili ndogo ni matumiz mabaya ya MB, haiwezekani niweke GB 30 nijibu comment zinazoonesha kiwango kidogo Cha uelewa Kama chako


Habari ya Smith Rowe kutakiwa Chelsea na swap ya makalio mudrky imesemwa had na vyanzo vya kuaminika kutoka Chelsea

Ila wewe kazi ya smartphone unajua ni kucheza game ,kubetia na kuingia Jf kuandika utumbo
 
2021/22 Ligue 1 Young Player of the Year

2021/22 Ligue 1 Team of the Year

2022/23 Premier League Young Player of the Year nominee

2022/23 Premier League Team of the Year

He’s him.
 

Attachments

  • 20230830_115619.jpg
    69.6 KB · Views: 4
️ | Bukayo Saka has joined a very special list of Gunners to claim the PFA Young Player of the Year award.


󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Bukayo Saka (2022/23)
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Jack Wilshere (2010/11)
Cesc Fabregas (2007/08)

That’s some trio
 
Kama kocha angekuwa anasikiliza makelele ya hawa mashabiki mimi nawaita mashabiki uchwara

Hapa Saka angekuwa ana struggle eneo la Beki , Ødegaard aliandamwa ni mlain hataiweza EPL ,anayefaa Ni buendia

Rams hafai atatushusha daraja

Uzuri Arsenal haisikilizagi makelele ,

 
Kenge sio machizi kiasi hiko
 
Arsenal hii hamkumtaka hata Jesus asajiliwe ,Arsenal hii hamkutaka hata saka apewe jezi no.7
Hatukutaka wapi wewe! umeshikilia 'hatukutaka' utafkiri wewe ndo ulikua sahihi.

Acha kujifanya uko sahihi muda wote. Sehemu mtu akizingua lazima asemwe.
Inawezekana vipi mtu awe sahihi muda wote?

Sisi hatujakataa kama Arteta ni kocha mzuri lakini haimaanishi kama hakosei.

Pep mwenyewe alizingua kwenye fainali ya UEFA 2021/22 kwa kucheza bila ya kiungo mkabaji huku akimuacha Rodri nje.. na ali admit.

Kwahiyo usijione muda wote wewe na Arteta wako mko sahihi.

Hata ikitokea Havertz akashinda hat-trick jumapili dhidi ya Man Utd haimaanishi kama alikua sahihi tangu mwanzo.

Huo muda anaopewa Kai angepewa ESR/Trossard/Fabio kwenye ile position tungekua tunaongea mambo mengine.
 
Hivi Pepe na Harvetz nani ni TAKATAKA??binafsi Harvetz ni UHARO afadhali ya Pepe
Kwni Havertz amecheza mechi ngapi pale Araenal....na Pepe naye alicheza mechi ngapi pale Arsenal...tafuta jibu halafu ndo uone mpk sasa ni kiazi pale....Pepe aende tu kwakwli...alishapata nafasi ya kutosha ikashindikana ila Havertz bado Ana msimu mzima huu wa kufanya alichoaminiwa na mwalimu
 
Sio kila taarifa ni sahihi sidhani Chelsea wanampango wakumuuza Mudryk wakati kocha wa mpira wanamwitaji na yupo kwenye project yetu.Habari za kweli siku zote zinatoka kwenye source nyingi
 
Hyu Fabio Vieira aliyekuwa anaonekana nyanya msimu ulopita....kila mchezaji anatakiwa kupewa nafasi ya kufanya kile mwalimu anachomuelekeza...Kai mechi tatu mnaanza kuja kupiga kelele hmm....Acheze msimu mzima apate rhythm kama alivyocheza Pepe na ma flop mengine ndo aanze kujajiwa ila kwa sasa arukeruke tu...ni mda wake huu
 
Kuna shabiki la Arsenal linapiga spana hatari humu safi sana. TunaKuwekea ulinzi endelea kupiga spana kutoa false hopes zote😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…