zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,906
- 36,831
Mbona second half mfumo uliporudi wa zamani tumeona game iki flow vizuri?namna timu inavocheza saivi ;role ambayo arteta anampa partey ya kuwa inverted full back wa upande wa kulia kaona anaicheza vema zaidi ndio sababu hataki iyo nafasi acheze mwingine kwa sasa.
Arteta anataka atuoneshe kama hajakosea kutoa mahela yote kumsajili, yeye bado anamfikiria Havertz wa Leverkuzen..Kai aanze badala ya Rice au Trossard? Hapana kwa kweli, ni mzigo kabisa huyo. Hili kosa la kumsajili Havertz ndio yatatucost msimu huu. Mbaya zaidi tutashindwa kumuuza atatusumbua kama Pepe au Ozil!!
Mkuu kweli???Usisahau ule msemo maarufu "mpira ni mchezo wa wazi"namna timu inavocheza saivi ;role ambayo arteta anampa partey ya kuwa inverted full back wa upande wa kulia kaona anaicheza vema zaidi ndio sababu hataki iyo nafasi acheze mwingine kwa sasa.
Mkuu shukrani kwa kuni quote, hapo nimekosea kuandika, niliandika nikiwa na hasira sanaaKai aanze badala ya Rice au Trossard? Hapana kwa kweli, ni mzigo kabisa huyo. Hili kosa la kumsajili Havertz ndio yatatucost msimu huu. Mbaya zaidi tutashindwa kumuuza atatusumbua kama Pepe au Ozil!!
Kwa sasa Chelsea akikuuzia mzungu kimbia tena usigeuke popote.Kai aanze badala ya Rice au Trossard? Hapana kwa kweli, ni mzigo kabisa huyo. Hili kosa la kumsajili Havertz ndio yatatucost msimu huu. Mbaya zaidi tutashindwa kumuuza atatusumbua kama Pepe au Ozil!!
πππ hizi false hope ila haina noma ngoja tufanye tutunze tumaini hili bandia.Msimu huu Arteta anataka kufanya kitu kitakua memorable for years
Itunze hii
Kai mlisema Chelsea hawajui kumtumia, sasa nyie mnakwama wapi?.Mkuu shukrani kwa kuni quote, hapo nimekosea kuandika, niliandika nikiwa na hasira sanaa
Kai mtoe kabisa hapo, ikiwezekana hata bench asiwepo.
Mkuu zile kelele za kishabiki tu. Tusamehe sana.Kai mlisema Chelsea hawajui kumtumia, sasa nyie mnakwama wapi?.
Mlisema Kai ni zaidi ya KDB au MO SALAH, kiko wapi sasa.?
kama mlivyokubaliana jezi zinarushwa juu watakao wahi kuzidaka ndio hao hao wanaanza. Kai tunamjua ni mrefu na tutarajie kila game ataanza nashangaa wanaolalamika humu ndani kwanini kai aanze wakati maamuzi yalishafanyika pre season jezi zirushwe juu kupata first 11