Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,854
- 81,998
Arsenal na manjesta muungane mkija kukutana na liverpool ntawapiga tano tano
Kwasasa mna timu mbovu ,mlipelekeshwa Sana na Chelsea inayojitafutaArsenal na manjesta muungane mkija kukutana na liverpool ntawapiga tano tano
😁😁😁Ngoja tukutane maji utaita mmaKwasasa mna timu mbovu ,mlipelekeshwa Sana na Chelsea inayojitafuta
Huna timu mkuu Wala usijisumbue kupiga kelele humu[emoji16][emoji16][emoji16]Ngoja tukutane maji utaita mma
Mnasajili kina Evans na Betrand ,nyie jamaa ni vichekeshoUnazungumzia ile mechi mlioshinda kwa goli la mbeleko? Safari hii tutapishana uwanajani tar 3 na ifike
Mwaka huu na confidence Sana na timu ,naona tumekuwa physically kuliko hata msimu uliopitaAt the moment, as things stand
1. Naiona invisible
2. Uefa au Ligi uhakika 100% moja tunapita nalo
3. NDOO mbili
(Ligi, UEFA, FA, Carabao)
#COYG[emoji110]
Nilikua nairudia game na crystal palace, ile defense no wonder Flano mwenyewe alitukubaliMwaka huu na confidence Sana na timu ,naona tumekuwa physically kuliko hata msimu uliopita
Hatari sana[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji599]Mikel Arteta kuhusu kama tutaona kiungo cha Partey Rice Odegaard:
"Nadhani tayari tuliweka alama - tulicheza hivyo dhidi ya Man City. Oh kwenye ligi? Vipi kuhusu Ligi ya Mabingwa na Kombe la Carabao. Nyumbani au ugenini?
[emoji599]Kwa hakika, nadhani itafanyika(mtakiona)."
[Arsenal]View attachment 2728361
Nawaona mkuu mutafika mbali sana ..sisi Chelsea bado inatafutana yani 😂😂Arsenal ya mwaka huu kaa mbali na watoto