NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Unazungumzia ile mechi mlioshinda kwa goli la mbeleko? Safari hii tutapishana uwanajani tar 3 na ifikeKwa timu yenu hii tia maji tia maji
Yule refa aliyewabeba hiyo mechi hatakuwepo
Nadhani unakumbuka pale Emirates ,7hag alitaka angalau sare kitambaa hakikutosha

BREAKING: 

Mwandishi :Atakuwepo [Kwenye kikosi cha Fulham?]
Arteta on defensive options - 


