Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kurudi kwa Jesus na GM6, Kai kazi anayo.

Partey anarudi kwenye 6

White anarudi kwenye RB

Rice kwenye LCM.

Gm6 anarud kwenye LCB
Kai ana mechi zake atacheza

Kwa Sasa naona tukirudi kwenye 4-3-3

Wengi wanasema Kurejea kwa Jesus kutafanya Kai aanze kutoa Goals & assist

Maana uchezaji wa Jesus umekuwa ukimnufaisha Martinelli Sana , wachambuzi wanasema utamnufaisha pia Kai

But for now natamani kuona lineup hii

4-3-3

Raya/Ramsdale

White Saliba Magalhaes Zinny

Ødegaard Partey Rice

Saka Jesus Martinelli
 
Arsenal front three
20230824_194746.jpg
 
BREAKING:


An agreement has been reached tonight between AS Monaco and Arsenal for the transfer of Folarin Balogun.

It’s a €45million deal, as per @FabriceHawkins.
 
Brentford braced for Ivan Toney bids in January. Valuation expected to be around £80million. Multiple bids are expected but among the interested parties are Arsenal.


[@TimesSport]
 
Real Sociedad are close to reaching an agreement with Arsenal for the signing of Kieran Tierney on a season-long loan.

The deal does not include an option or obligation to buy the Scotland international but Sociedad are paying a loan fee and covering Tierney's salary in full. A deal is not yet signed but if everything goes to plan he will travel to Spain and undergo a medical over the weekend.(@David_Ornstein)
 
Kai ana mechi zake atacheza

Kwa Sasa naona tukirudi kwenye 4-3-3

Wengi wanasema Kurejea kwa Jesus kutafanya Kai aanze kutoa Goals & assist

Maana uchezaji wa Jesus umekuwa ukimnufaisha Martinelli Sana , wachambuzi wanasema utamnufaisha pia Kai

But for now natamani kuona lineup hii

4-3-3

Raya/Ramsdale

White Saliba Magalhaes Zinny

Ødegaard Partey Rice

Saka Jesus Martinelli
Hiki ndo kinapaswa kua kikosi cha kazi kazi
 
Fabrizio Romano

AS Monaco are close to reaching total agreement with Arsenal on permanent deal for Folarin Balogun

Negotiations advancing to final stages, contact ongoing also tonight — as first called by @FabriceHawkins.
 
Imeshindikana na leo?? Mbona sinaona taarifa hii leo
Leo baada ya kupiga hattrick


• Was this your last game for Ajax?

- Kudus: "Yes, I think so. But let's see what happens in the next days. The talks are going on. We have to see if an agreement is reached in the next days."
 
Katika jambo nimewashangaa Man Utd na kisha jamii ya football ya waingereza ni issue ya Greenwood.

Kwanza huyu ni kijana mdogo ambaye bado anahitaji malezi hajafikia full maturity.

Pili issue yake sio professional bali ni issue ya discipline zaidi na pamoja na kuwa charges zote zilikuwa dropped lkn kuna sehemu mtandaoni niliona kuwa wamereconsile na yule dada na wanaendelea na mahusiano (sina hakika sana na hili)

Tatu ni kuwa ukisikiliza ile audio clip ina viashiria kuwa wote wawili walikuwa under influence of alcohol.

Nne, yaani unaruin career ya kijana mdogo vile sababu ya jambo ambalo binafsi naliona halina mazingira timilifu maana inaonekana km vile ile audio imeanzia katikati na ni km pia ilikuwa planned vile. Unajiuliza kwa ile level ya quarrels mtu anapata wapi utulivu wa kurecord tukio?

Kwa maoni yangu naona km kulikuwa na intentional provokation ili kumu-upset dogo maana tumeona athletes wengi wamekuwa victims wa matukio ya kutengeneza ili wapigwe pesa.

Finally naunga mkono hoja ya Henry 14, kwani hata me niliwaza hivyo in the first place. Huyu dogo ana pontentials za kutosha na ni proper back up ya ‘Star Boy’


Greenwood charges zilikua droped kweli but why? Coz mwanamke aligoma kuja kutoa ushahidi.

What does that tell you? A guy actually graduated from a sexual abuser to manipulator be it with money or what.

No way Arsenal au klabu yoyote ya ligi kuu Uingereza itamvuta pale.

Tulimtaka Bissouma kwanini tuliachana naye?

Kuna historia ndefu za wachezaji ambao careers zao ziliharibiwa kwa ishu mbalimbali mmoja career ilifutika coz aliscore halafu akafanya salamu ya Nazi.

Kama unahisi Greenwood itakua tofauti itakua hujawahi fuatilia mpira nje ya uwanja
 
Wamefika hatua nzuri, kama hadi kesho Arsenal na Chelsea hawatatia Nia Basi anaenda westham
Mchezaji ambaye anawasumbua kwny kusajili hasa upande wake akijifanya anazungushana na nyny kwny maslahi binafsi yake....ni kuachana naye maana anakuwa na akili mbilimbili....atawasumbua
 
Back
Top Bottom