Saka akikabwa na watu wawili means anaprovide sapce kwa Kai na odegardTimu nyng wakikutana nao sasahv kwa kipindi kikubwa cha mechi wanawakaba 2v1 kwny flanks..hasa ule upande wa Saka niliona naona sana anakabwa na wawili
Nashangaa sana hii issue ya Partey, wakati full backs wapo.My Full Time thoughts:
- Saliba is 1 of 1 Rolls Royce, best in the world
- Tomiyasu was poor but harsh red card
- Partey RB gimmicks has to stop please
- Kai Havertz again was solid
- Ødegaard showed Enzo how to turn up when your team needs you
- Declan Rice what a guy
- Zinchenko is the best inverted Full Back in the world if you have a Football brain
- David Coote, God will punish you. Amen!!
On to the next one
Let me know your thoughts gooners
Mfumo unataka hivo mkuu ,Partey ni fullback wa uongo tuNashangaa sana hii issue ya Partey, wakati full backs wapo.
Mkuu kauli mbiu ni ileile....Kila mtu abaki kwny matatizo yake...yle jamaa wa Nyukesto naona yupo kimya sana🤣🤣🤣....jana itakuwa alikuwa anaangalia mpira akiomba litutokee baya lolote aje kututolea mbovu humu....In short msimu huu maadui wameongezeka zaidi🤣🤣🤣...Wa Man u...wa Chesiiiiii....wa Liverkuku...wa Man shitty...wa Nyukesto yaani wanaomba tembo asipande juu ya mti tena
@Mkohoti na Flano hawawez kuja humu kwa fujo, flano anakuja humu sababu ni Arsenal fan aliyejikuta anashabikia nyumbu sababu alikuwa anaishi kwa shemeji yake shabiki wa manjesta,ili asimuudhi akawa anashabikia nyumbuMkuu kauli mbiu ni ileile....Kila mtu abaki kwny matatizo yake...yle jamaa wa Nyukesto naona yupo kimya sana....jana itakuwa alikuwa anaangalia mpira akiomba litutokee baya lolote aje kututolea mbovu humu....In short msimu huu maadui wameongezeka zaidi...Wa Man u...wa Chesiiiiii....wa Liverkuku...wa Man shitty...wa Nyukesto yaani wanaomba tembo asipande juu ya mti tena
Mkuu umepiga kwenye mshono@Mkohoti na Flano hawawez kuja humu kwa fujo, flano anakuja humu sababu ni Arsenal fan aliyejikuta anashabikia nyumbu sababu alikuwa anaishi kwa shemeji yake shabiki wa manjesta,ili asimuudhi akawa anashabikia nyumbu
Ila Flano ni Arsenal mwenzetu
Hapa chin ni Flano na mkohotimView attachment 2724956
Unajua kati ya Kai na Tommy nani alikaa na mpira muda mrefu zaid? Basi nakujuza tommy ndio alikaa na mpira muda mrefu kuliko Kai.Hii kadi ya kwanza ya Tommy ni ujanja, maybe angepesa Kai sawa.
Mpira mchezo wa wazi, tutakuja kuongea lugha moja siku moja. Hata mimi nilishawahigi mtetea sana Kai kama wewe. Kai anatabia ya kupromise, sasa kila mechi utapromisiwa weee, mpk mwisho wa siku lazima utupe kitaulo.Mi nashangaa😅😅😅😅....hiki kitabia cha kumchukia jamaa wameambukizwa kutoka kwa akina Mkohoti...
Sijui kama tutatoboa nao mkuu. Ngoja tuone.Mfumo unataka hivo mkuu ,Partey ni fullback wa uongo tu
Kuna mtu alielezea malengo ya huu mfumo
1: Creates overoads kwenye phase zote
2: Maintain shorter distance btn players to have good passing game and easy to counterpress once ukipoteza boli
3: A good rest defense
Hujui mpira ,aliyekaa na mpira muda mrefu ni KaiUnajua kati ya Kai na Tommy nani alikaa na mpira muda mrefu zaid? Basi nakujuza tommy ndio alikaa na mpira muda mrefu kuliko Kai.
Umeanza vizuriii, halafu ukamaliza na ujinga. Eti Manyumbu wachukue points 6 kwetu? Hata moja mkipata mkatambike milimani na bahariniArsenyau mnataka mnipe rushwa ili na mimi niunge mkono juhudi?
Humu wakikosekana watu kama kina Flano jukwaa litapoa tena litakua halina hata mzuka kabisa.
Ila jana mbona niliwapongeza kiroho safi tu mkuu, ingawa mliondoka na points3 lakini mlivuta pumzi za moto tena bahati yenu sana hakuwepo Zaha na Olise la sivyo humu leo kungejaa matusi.
Baada ya kadi nyekundu ya Tomiyasu kwa mara ya kwanza jana nimeweza kuipongeza defence yenu, sikutarajia kama mngekua na ukuta imara kiasi kile aiseee kwa jinsi Palace walivyokua wanawapelekea moto.
Kingine kadi ya pili aliyopewa Tomiyasu ile ki ukweli kabisa alionewa maana mimi binafsi sijaona kosa lolote alilofanya pale.
Kingine ni penalt ya wazi walionyimwa Palace baada ya Rice kumvuta na kumsukuma Eze ndani ya box.
Kikubwa nilichokiona kwa Arsenyo hii Man Utd tuna point zetu 6 za wazi kabisa msimu huu, pona yenu ni marefa watuletee figisufigisu.
Tunapigwa Sana low blockArsenyau mnataka mnipe rushwa ili na mimi niunge mkono juhudi?
Humu wakikosekana watu kama kina Flano na Mkohoti jukwaa litapoa sana hili, kila siku mtakua mnaishia kutukanana wenyewe kwa wenyewe humu ndio maana watu wenye busara tunakuja humu kuweka mambo sawa.
Ila jana mbona niliwapongeza kiroho safi tu mkuu, ingawa mliondoka na points3 lakini mlivuta pumzi za moto, tena bahati yenu sana hakuwepo Zaha na Olise la sivyo humu leo kungejaa matusi.
Baada ya kadi nyekundu ya Tomiyasu kwa mara ya kwanza jana nimeweza kuipongeza defence yenu, sikutarajia kama mngekua na ukuta imara kiasi kile aiseee kwa jinsi Palace walivyokua wanawapelekea moto.
Kingine kadi ya pili aliyopewa Tomiyasu ile ki ukweli kabisa alionewa maana mimi binafsi sijaona kosa lolote alilofanya pale.
Kingine ni penalt ya wazi walionyimwa Palace baada ya Rice kumvuta na kumsukuma Eze ndani ya box, inawezekana refa aliikaushia hio penalt makusudi kwa kufuta makosa aliyoyafanya kwa Tomiyasu.
Kikubwa nilichokiona kwa Arsenyo hii Man Utd tuna point zetu 6 za wazi kabisa msimu huu, pona yenu ni marefa watuletee figisufigisu.
Tarehe 3 sio mbali mkuu tuombe uzima tu, pona yenu ni mbeleko toka kwa marefa kama walivyo wabeba jana dhidi ya Palace.Umeanza vizuriii, halafu ukamaliza na ujinga. Eti Manyumbu wachukue points 6 kwetu? Hata moja mkipata mkatambike milimani na baharini
Mkuu huwa huangalii uchambuzi au?Hujui mpira ,aliyekaa na mpira muda mrefu ni Kai