Huo mfumo ulivyoiva bale Barcelona ile ya xavi, iniesta na Messi
Watu tulikua tunaona Kama wanacheza mpira rahisi Sana
Lakini iniesta alipohojiwa akasema, hakuna mpira mgumu tunaocheza Kama huu mnaouona, coz muda wote inahitaji ukimbie, uame vyumba, utoe mpira upewe mpira
Huo mfumo wanahitaji wachezaji sharp Kama ulivyosema
Lakini pia wachezaji wanye uwezo wa kuusoma mchezo kwa haraka, pass accuracy
Tena niliona ukiwaambia nyumbu, pass zinafundishwa, haziji hivi hivi


Profiles anazohitaji Arteta ni blue print ya cryuff baba wa tiktak
Tupo phase ya nne, phase ya tano ndio makombe yanaanza kuingia according Arteta. Yeye anakuambia hapo timu bado inakosa balace baadhi ya maeneo.
City anatufanyia roho mbaya hataki kutuuzia wachezaji