Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aah kaka nketiah mi naona kacheza vzuri sana leo yan ana ule usumbufu kama wa Jesus na akiendelea hiv atakua potential sana this season...rice kwakwel kila game anazdi kuwa bora huyu jamaa AISEE tume lamba dume...SALIBA ooh my GOD...haelezeki PARTEY NA MARTINEL huu mfumo umezidi kuwafanya wawe bora... Nisiwe mnafki ziiny, timber na Jesus wakija fit huu mfumo SIJUI KAMA KUNA KOMBE TUTAACHA hahahah.
Uko sahihi kbs mkuu ila tatzo la Nketiah ni mtumizi makubwa ya nguvu kuliko akili
 
Uko sahihi kbs mkuu ila tatzo la Nketiah ni mtumizi makubwa ya nguvu kuliko akili
Hapana kaka he is still learning mm nketiah kwakwel naona anazdi kua bora na ninachokiona ameamua kubadilika na kujifunza zaidi
 
Nketiah sio mbaya sana,kama ni ST basi inabidi apatikana profile high class hasa.ila dogo kakosa kamba mbili clear kabisa ila ndo mchezo
 
Sub ni moja tu ya kubadili game ndan ya dakika 10 za mwanzo

Kai out
Troussard In.

Uko pengine paachwe ivyo ivyo kwanza.
 
Aliyeleta hiki kifaa arsenal Tunaomba alete wa pili tumalize kazi ...Gabriel is good ila ana silly mistakes tukimpata mtu mwenye kariba ya SALIBA sjui nseme nn
Screenshot_20230821-225620.jpg
 
Sub ni moja tu ya kubadili game ndan ya dakika 10 za mwanzo

Kai out
Troussard In.

Uko pengine paachwe ivyo ivyo kwanza.
Hii game inamuhitaji sana zinny kuliko trosard kwa sasa, kai ametulia sana hafanyi mistakes anayefanya kidgo kauwalakin ni tomi...akili ya pasi mpenyezo ya zinny inahitajika kuwapa kai na nketiah goals
 
Huo mfumo ulivyoiva bale Barcelona ile ya xavi, iniesta na Messi
Watu tulikua tunaona Kama wanacheza mpira rahisi Sana
Lakini iniesta alipohojiwa akasema, hakuna mpira mgumu tunaocheza Kama huu mnaouona, coz muda wote inahitaji ukimbie, uame vyumba, utoe mpira upewe mpira

Huo mfumo wanahitaji wachezaji sharp Kama ulivyosema
Lakini pia wachezaji wanye uwezo wa kuusoma mchezo kwa haraka, pass accuracy
Tena niliona ukiwaambia nyumbu, pass zinafundishwa, haziji hivi hivi

Profiles anazohitaji Arteta ni blue print ya cryuff baba wa tiktak
Tupo phase ya nne, phase ya tano ndio makombe yanaanza kuingia according Arteta. Yeye anakuambia hapo timu bado inakosa balace baadhi ya maeneo.

City anatufanyia roho mbaya hataki kutuuzia wachezaji
aiseeee kumbe hii ni fezi ya 4 halafu Arteta kawadanganya kua fezi ya 5 ndio makombe?
Kwa hio msimu huu mkibahatika kuingia top 4 mtakua mmeover archieve tena sio?
Niwasanue tu msimu huu mnatoka patupu kama msimu ulioisha halafu msimu unaofata ndio mnapoteana mazima.
Msimu ujao Arteta akiulizwa kuhusu makombe atajitetea tena kwa kusema hii ni phase ya 4.5 phase ya 5 ndio ya makombe
tapatalk_1566244996_540x407.jpg
 
aiseeee kumbe hii ni fezi ya 4 halafu Arteta kawadanganya kua fezi ya 5 ndio makombe?
Kwa hio msimu huu mkibahatika kuingia top 4 mtakua mmeover archieve tena sio?
Niwasanue tu msimu huu mnatoka patupu kama msimu ulioisha halafu msimu unaofata ndio mnapoteana mazima.
Msimu ujao Arteta akiulizwa kuhusu makombe atajitetea tena kwa kusema hii ni phase ya 4.5 phase ya 5 ndio ya makombeView attachment 2724647
Andaeni points 6 zetu
 
Arsenal inacheza mpira wa ushindi walah, ila wameshindwaje kufunga magoli ya Movement hadi kupambania mkwaju huu wa penalty.
 
Back
Top Bottom