Ame-clear kosa lakeTackling ya Saliba imetubeba hapa
Wa kutok n nketia... kai acheze false 9Sijui atoke nani, trossad gemu inamuhitaji hii
Maanina Nketiah hatuna Foward


baado hamjasema, na mtasema yaani mpaka mseme nyau nyieee.Nguvu nyingi sana akili kidogoMaanina Nketiah hatuna Foward
Wa kutok n nketia... kai acheze false 9
Nketiah ndio anafanya pressing. Hajacheza vibayaWa kutok n nketia... kai acheze false 9
Link jamani hamis77
Aah kaka nketiah mi naona kacheza vzuri sana leo yan ana ule usumbufu kama wa Jesus na akiendelea hiv atakua potential sana this season...rice kwakwel kila game anazdi kuwa bora huyu jamaa AISEE tume lamba dume...SALIBA ooh my GOD...haelezeki PARTEY NA MARTINEL huu mfumo umezidi kuwafanya wawe bora... Nisiwe mnafki ziiny, timber na Jesus wakija fit huu mfumo SIJUI KAMA KUNA KOMBE TUTAACHA hahahah.Maanina Nketiah hatuna Foward
Mi nashangaa sana wanaomlaumu nketiah sjui mnaangaliaje mpira aisee ...leo timu nzima inacheza perfect ni hvyo tu chances bado ila believe me this team will do BIGNketiah ndio anafanya pressing. Hajacheza vibaya
Huyo hamalizi 60' na akishaingia Mchawi Trossard na Zin crystal anakufa 3baado hamjasema, na mtasema yaani mpaka mseme nyau nyieee.