Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Brighton striker Evan Ferguson, valued at £100m, is on the radar of Arsenal for the next summer transfer window, FootballTransfers understands.

[@jac_talbot] #afc
20230821_155506.jpg
 
Brighton striker Evan Ferguson, valued at £100m, is on the radar of Arsenal for the next summer transfer window, FootballTransfers understands.

[@jac_talbot] #afcView attachment 2724155
Hawa wahuni kama hyu forward msimu huu atatupia za kutosha...hyo 100 itapanda mpk 130 huko...ni wahuni kwlikwli Hawa....Wana hyu....Wana mitoma...Wana Incisor...Wana yule winger wao wa kulia sijui anaitwa nani vile....zte ni hela kubwa tyri...hatari sana Hawa watu
 
Pepe scored 10 Premier League goals & 6 in the Europa League in 2020/21

If Sancho or Anthony masebene does that, Man United will build a statue
20230821_153353.jpg
 
Mikel Arteta -


"We want to be more aggressive even if we are 2-0 up"

(@footballdaily )
 
Gabriel Magalhães does NOT start tonight.

[via @FPLSout
Kachelewa kudaka jersey

3 diamond 3 huu mfumo kuanzia kocha Hadi wachezaji muwe na utimamu kichwani

Ni mfumo unahitaji zaidi possession, hapo inahitaji umakini mwanzo mwisho, Co muda wowote unapewa mpira
Na ukitoa mpira tafuta chumba upewe tena Mali

Ni mfumo ambao inabidi tuwe makini Sana na hii mikaunta ya butua butua

Wakiingia kwenye mfumo wanaweza wakala chuma 4 mapema sana
 
Kachelewa kudaka jersey

3 diamond 3 huu mfumo kuanzia kocha Hadi wachezaji muwe na utimamu kichwani

Ni mfumo unahitaji zaidi possession, hapo inahitaji umakini mwanzo mwisho, Co muda wowote unapewa mpira
Na ukitoa mpira tafuta chumba upewe tena Mali

Ni mfumo ambao inabidi tuwe makini Sana na hii mikaunta ya butua butua

Wakiingia kwenye mfumo wanaweza wakala chuma 4 mapema sana
Huu mfumo ukijaa unaweza shinda hata goli 8

Johan cryuff anasema ni mfumo unakuwa balanced maeneo yote , wachezaji wanatakiwa kuwa Sharp kila mmoja atimize majukumu yake
 
Huu mfumo ukijaa unaweza shinda hata goli 8

Johan cryuff anasema ni mfumo unakuwa balanced maeneo yote , wachezaji wanatakiwa kuwa Sharp kila mmoja atimize majukumu yake
Huo mfumo ulivyoiva bale Barcelona ile ya xavi, iniesta na Messi
Watu tulikua tunaona Kama wanacheza mpira rahisi Sana
Lakini iniesta alipohojiwa akasema, hakuna mpira mgumu tunaocheza Kama huu mnaouona, coz muda wote inahitaji ukimbie, uame vyumba, utoe mpira upewe mpira

Huo mfumo wanahitaji wachezaji sharp Kama ulivyosema
Lakini pia wachezaji wanye uwezo wa kuusoma mchezo kwa haraka, pass accuracy
Tena niliona ukiwaambia nyumbu, pass zinafundishwa, haziji hivi hivi

Profiles anazohitaji Arteta ni blue print ya cryuff baba wa tiktak
Tupo phase ya nne, phase ya tano ndio makombe yanaanza kuingia according Arteta. Yeye anakuambia hapo timu bado inakosa balace baadhi ya maeneo.

City anatufanyia roho mbaya hataki kutuuzia wachezaji
 
Mikel Arteta

Tuna flexibility sasa na tuna uwezo wa ku rotate kikosi na kutumia wachezaji katika nafasi nyingine.


Tutakuwa wasiotabirika zaidi.”


Mikel Arteta anasema muundo na mbinu zake hazitatabirika zaidi msimu huu.

View attachment 2724124
Hata sisi wenyewe tumeshindwa kumtabiri tunabaki kushangaa kama last game partey kutokea kulia
 
The Arsenal XI:

Aaron Ramsdale (GK), William Saliba, Ben White, Thomas Partey, Bukayo Saka, Martin Odegaard, Gabriel Martinelli, Eddie Nketiah, Takehiro Tomiyasu, Kai Havertz, Declan Rice

#CRYARS

[@Olly_A_informer]
 
Back
Top Bottom