HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,674
- 7,130
Najua boss. Ni inside joke huku arsenal maana Vieira humu tunamuita T-bagHuyo sio virra mzee, ni t bagwell wa Kwenye prison break 🤒
Najua boss. Ni inside joke huku arsenal maana Vieira humu tunamuita T-bagHuyo sio virra mzee, ni t bagwell wa Kwenye prison break 🤒
Na t bag hajaenda Qatar, ila wame mfananisha miarabu na Mr t🤣😂Najua boss. Ni inside joke huku arsenal maana Vieira humu tunamuita T-bag
Tusinunue mchezaji kutoka Brighton tena[emoji599] Brighton striker Evan Ferguson, valued at £100m, is on the radar of Arsenal for the next summer transfer window, FootballTransfers understands.
[@jac_talbot] #afcView attachment 2724155
Huyu dogo nilikuwa namuwaza, next season ilitakiwa iwe target yetu, sema pesa wanayotaka kubwa mno.[emoji599] Brighton striker Evan Ferguson, valued at £100m, is on the radar of Arsenal for the next summer transfer window, FootballTransfers understands.
[@jac_talbot] #afcView attachment 2724155
Kachelewa kudaka jerseyGabriel Magalhães does NOT start tonight.
[via @FPLSout
Huu mfumo ukijaa unaweza shinda hata goli 8Kachelewa kudaka jersey
3 diamond 3 huu mfumo kuanzia kocha Hadi wachezaji muwe na utimamu kichwani
Ni mfumo unahitaji zaidi possession, hapo inahitaji umakini mwanzo mwisho, Co muda wowote unapewa mpira
Na ukitoa mpira tafuta chumba upewe tena Mali
Ni mfumo ambao inabidi tuwe makini Sana na hii mikaunta ya butua butua
Wakiingia kwenye mfumo wanaweza wakala chuma 4 mapema sana
Huo mfumo ulivyoiva bale Barcelona ile ya xavi, iniesta na MessiHuu mfumo ukijaa unaweza shinda hata goli 8
Johan cryuff anasema ni mfumo unakuwa balanced maeneo yote , wachezaji wanatakiwa kuwa Sharp kila mmoja atimize majukumu yake
Hata sisi wenyewe tumeshindwa kumtabiri tunabaki kushangaa kama last game partey kutokea kulia [emoji16][emoji599]Mikel Arteta
[emoji837]Tuna flexibility sasa na tuna uwezo wa ku rotate kikosi na kutumia wachezaji katika nafasi nyingine.
[emoji837]Tutakuwa wasiotabirika zaidi.”
[emoji837]Mikel Arteta anasema muundo na mbinu zake hazitatabirika zaidi msimu huu.
[emoji837][emoji836]View attachment 2724124
Nahis injury ya Timber imetibua kila kitu kwenye RW. Bajeti haijakaa sawa tenaNimesikia pepe anarudi kikosini je ni kweli wadau?
Nimesikia pepe anarudi kikosini je ni kweli wadau?
Pepe ni mchezaji wakawaida sana hana maajabu yoyote sijui umeona nini kwa Pepe ila kwangu anabaki kua mchezaji ambae hana mchango wowote wa maana awapo uwanjani!!!To be honest and unlike many of you, Pepe uwa namkubali at times anatuokoaga
Mimi nitakupa link hutajutia ,hakikisha upo angalau sehemu nzuri kiasiWashika mitutu naombeni app nzuri ya kuchek online ,nilikuwa natumia "AFRICAN YETU" sas imezidi matangazo mpaka game huoni vizuri nimeifuta.